Baa zenye pisi kali kula bata weekend

Baa zenye pisi kali kula bata weekend

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
702
Reaction score
759
Wakuuuu poleni na majukum,

Kiukweli huwa nikija dar mapumziko ya kikaz hupenda kujirusha viwanja mbali mbali .

Lakini samaki samaki masaki wazeee weekend kuna ps kali zinakula bata tupeane machimbo mengine kesho ntakuwa dar wakuu.
 
Badala uulizie jinsi gani utaweza kuanzisha walau kakiwanda kadogo ka kukamua alizeti,wewe unaulizia maswala ya ngono.
Mkuu hebu tulia unywe maji ya baridi halafu uvute pumzi ndefu! Tulia kwa dakika 5.
Namna ya kuanzisha hicho kiwanda kidogo cha kukamua mafuta ya alizeti ameshauliza huko jukwaa husika na amejibiwa na keshaanzisha.
Huku sasa anaulizia issue nyingine nyeti katika jukwaa sahihi, kwa hiyo muache jamaa yetu yupo sahihi!
 
Badala uulizie jinsi gani utaweza kuanzisha walau kakiwanda kadogo ka kukamua alizeti,wewe unaulizia maswala ya ngono.
akili zako bana ,nimetoka mkoani kufanya nn mzeee
 
Mkuu hebu tulia unywe maji ya baridi halafu uvute pumzi ndefu! Tulia kwa dakika 5.
Namna ya kuanzisha hicho kiwanda kidogo cha kukamua mafuta ya alizeti ameshauliza huko jukwaa husika na amejibiwa na keshaanzisha.
Huku sasa anaulizia issue nyingine nyeti katika jukwaa sahihi, kwa hiyo muache jamaa yetu yupo sahihi!
mwamba unaakili sana
 
Badala uulizie jinsi gani utaweza kuanzisha walau kakiwanda kadogo ka kukamua alizeti,wewe unaulizia maswala ya ngono.
Mindset za watanzania sio wa kuwaza mambo makubwa makubwa. Many people have average mindsets.
 
Back
Top Bottom