Tetesi: Baada kususia chaguzi za NEC CHADEMA sasa kuwaunga mkono CUF Jimbo la Liwale

Tetesi: Baada kususia chaguzi za NEC CHADEMA sasa kuwaunga mkono CUF Jimbo la Liwale

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam, tetesi zilifika hivi punde kutoka ufipa zinasema kwamba CHADEMA wameamua kuwaunga mkono CUF ili jimbo lirudi UKAWA japo haijawekwa wazi wataiunga mkono CUF ya maalim Sefu au ya Lipumba.

Kama itatokea hivyo kuna uwezekano mkubwa kwa CCM kupoteza jimbo hilo pamoja na rafu za CCM kwenye chaguzi.

Nawasilisha
 
Wasalaam, tetesi zilifika hivi punde kutoka ufipa zinasema kwamba chadema wameamua kuwaunga mkono cuf ili jimbo lirudi ukawa japo haijawekwa wazi wataiunga mkono cuf ya maalim sefu au ya lipumba.

Kama itatokea hivyo kuna uwezekano mkubwa kwa ccm kupoteza jimbo hilo pamoja na rafu za ccm kwenye chaguzi.

Nawasilisha
Mkuu unataka kutuambia CUF Maalimu na CUF Lipumba wataweka wagombea
 
Wasalaam, tetesi zilifika hivi punde kutoka ufipa zinasema kwamba chadema wameamua kuwaunga mkono cuf ili jimbo lirudi ukawa japo haijawekwa wazi wataiunga mkono cuf ya maalim sefu au ya lipumba.

Kama itatokea hivyo kuna uwezekano mkubwa kwa ccm kupoteza jimbo hilo pamoja na rafu za ccm kwenye chaguzi.

Nawasilisha
Siasa Tanzania zilivyo pamoja na ukweli kuwa Mara zote Lipumba na wenzake wamekua wakiiunga mkono CCM kwenye uchaguzi mkuu hasa upande wa Urais lakini bila kuondoa ubinafsi wa Mbowe na uroho wa madaraka pamoja na mwenzake Lipumba na kuunganisha nguvu za vyama hivi viwili pamoja na Kile cha ACT kamwe wapinzani hawataingia madarakani hata pakiwa na time huru na katiba mpya na mahakama huru kabisa.

Chadema chenyewe hakiwezi kuishinda CCM na CUF yenyewe haiwezi kuishinda CCM. Lakini CUF kikishirikiana na Chadema na vyama vingine kinaweza kwa hakika kuiangusha CCM kwa kishindo kikubwa.
Kilichopo ni kwamba Viongozi wa vyama hivi ni makada wa CCM waliopo upinzani kwa ajili ya maslahi yao. Hawana mpango wa kuiondoa CCM madarakani ndio maana kila mmoja hayupo radhi kuona miongoni mwa vyama vya upinzani kinaingia ikulu. Wanajua kuwa CCM ndiye aliyewaweka kwa kazi maalum na hawataki CCM iangushwe mana ikiangushwa basi dili lao litakua limekwisha ndani ya upinzani.

Hua najiuliza kama mtesi wa upinzani ni CCM inakuaje Chadema au CUF au ACT wanashindwa kuungana hata kama wana tofauti zao za kisiasa.
Tofauti ya CUF na Chadema kwa mtizamo wangu haiwezi kuwa ni sababu ya kujenga uadui mkubwa na kuona bora CCM ishinde wakati wako madarakani miaka nenda rudi.

Wapinzani wangemjua adui na mshindani wao anayetumia mbinu zozote kupata ushindi basi wangekua wanapeana kampani kwenye uchaguzi.
 
jini kisilani ''MTATIRO'' kaondoka na gundu lake lazima CUF itatengemaa swasa na kuwa ngangali tena CUF ya ISIS
 
Siasa Tanzania zilivyo pamoja na ukweli kuwa Mara zote Lipumba na wenzake wamekua wakiiunga mkono CCM kwenye uchaguzi mkuu hasa upande wa Urais lakini bila kuondoa ubinafsi wa Mbowe na uroho wa madaraka pamoja na mwenzake Lipumba na kuunganisha nguvu za vyama hivi viwili pamoja na Kile cha ACT kamwe wapinzani hawataingia madarakani hata pakiwa na time huru na katiba mpya na mahakama huru kabisa.

Chadema chenyewe hakiwezi kuishinda CCM na CUF yenyewe haiwezi kuishinda CCM. Lakini CUF kikishirikiana na Chadema na vyama vingine kinaweza kwa hakika kuiangusha CCM kwa kishindo kikubwa.
Kilichopo ni kwamba Viongozi wa vyama hivi ni makada wa CCM waliopo upinzani kwa ajili ya maslahi yao. Hawana mpango wa kuiondoa CCM madarakani ndio maana kila mmoja hayupo radhi kuona miongoni mwa vyama vya upinzani kinaingia ikulu. Wanajua kuwa CCM ndiye aliyewaweka kwa kazi maalum na hawataki CCM iangushwe mana ikiangushwa basi dili lao litakua limekwisha ndani ya upinzani.

Hua najiuliza kama mtesi wa upinzani ni CCM inakuaje Chadema au CUF au ACT wanashindwa kuungana hata kama wana tofauti zao za kisiasa.
Tofauti ya CUF na Chadema kwa mtizamo wangu haiwezi kuwa ni sababu ya kujenga uadui mkubwa na kuona bora CCM ishinde wakati wako madarakani miaka nenda rudi.

Wapinzani wangemjua adui na mshindani wao anayetumia mbinu zozote kupata ushindi basi wangekua wanapeana kampani kwenye uchaguzi.
umenena vema
 
Kwani tatizo ni kampeni na kupiga kura au tatizo ni kusema mshindi ni flani?
ni vema wanasiasa wasomi mkasema ukweli ili kuwasaidia watanzania badala ya kuendelea kuipotosha jamii, kwani mim nafahamu
kuwa CHADEMA aliondoka nayo Dr Slaa.
 
Wasalaam, tetesi zilifika hivi punde kutoka ufipa zinasema kwamba chadema wameamua kuwaunga mkono cuf ili jimbo lirudi ukawa japo haijawekwa wazi wataiunga mkono cuf ya maalim sefu au ya lipumba.

Kama itatokea hivyo kuna uwezekano mkubwa kwa ccm kupoteza jimbo hilo pamoja na rafu za ccm kwenye chaguzi.

Nawasilisha
Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, hata hivyo hakanaga umoja wenye wa Kweli kati ya CUF na CHADEMA.
 
Back
Top Bottom