PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Baada ya 2015:, Game likaenda kuazishiwa Ukraine, then likahamishiwa October 7, 2023. Unaona kabsa jinsi gamela uvamizi lililofanywa na Hamas vile lietengenezwa. Haiingii akilini kwamba Shinbet hawakuujua ule mpango. Bado haiingii akilini kwamba jamaa hawajui hostages walipo.
Wameweza kuua viongozi wote wa Hamas na Hezibollah halafu wasijue hostages walipo? Wameweza kujua projects za siri kabisa za Nuclear za Iran halafu wammeshindwa kujua walipowekwa hostages pale Gaza.
Hiidunia watu hujiingiza kwenye mkumbo wa kushangilia wasiyoyajua.
Nimesikia Hezibollah wanataka kubadili harakati zao. Wanataka baadaye wasajiriwe na kutambulika kama Shirika la kutoa misaada ya elimu kwa watoto wa kike.
Kuna faida kubwa sana ya kuujua mchezo chess au draft halafu mbinu hizo ukaweza kuzi apply katika maisha halisi
Wameweza kuua viongozi wote wa Hamas na Hezibollah halafu wasijue hostages walipo? Wameweza kujua projects za siri kabisa za Nuclear za Iran halafu wammeshindwa kujua walipowekwa hostages pale Gaza.
Hiidunia watu hujiingiza kwenye mkumbo wa kushangilia wasiyoyajua.
Nimesikia Hezibollah wanataka kubadili harakati zao. Wanataka baadaye wasajiriwe na kutambulika kama Shirika la kutoa misaada ya elimu kwa watoto wa kike.
Kuna faida kubwa sana ya kuujua mchezo chess au draft halafu mbinu hizo ukaweza kuzi apply katika maisha halisi