Baada ya 7, Kocha wa Taifa Stars awaomba msamaha Zimbe na Kapombe

Baada ya 7, Kocha wa Taifa Stars awaomba msamaha Zimbe na Kapombe

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
63f249d161ef466bad5c39b0c256571e_336231498_470119865241813_8066787150280303407_n.jpg
 
Haoa katikati kulikuwa na kampeni kubwa sana ya kuonyesha kuwa Simba Sc ni team dhaifu sana, kampeni ambayo ilishirikisha wadau mbalimbali wa michezo, media na baadhi ya viongozi wasiokuwa na utamamu wa akili na fikira.

Ilikuwa ni ngumu sana kwa kocha mgeni kama huyu kuwaacha wachezaji hao bila ya kushauriwa na wajinga wa hapahapa Tz.

Kocha aliitiwa kikosi.
 
Haoa katikati kulikuwa na kampeni kubwa sana ya kuonyesha kuwa Simba Sc ni team dhaifu sana, kampeni ambayo ilishirikisha wadau mbalimbali wa michezo, media na baadhi ya viongozi wasiokuwa na utamamu wa akili na fikira.

Ilikuwa ni ngumu sana kwa kocha mgeni kama huyu kuwaacha wachezaji hao bila ya kushauriwa na wajinga wa hapahapa Tz.

Kocha aliitiwa kikosi.
Itakua ni kaze na kidau
 
Back
Top Bottom