Baada ya Ally Kamwe kuzirai, kitabibu alipaswa kubadilishiwa majukumu

Baada ya Ally Kamwe kuzirai, kitabibu alipaswa kubadilishiwa majukumu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Unapomuona mtu amezimia/amezirai maana yake kulikuwa na shida kwenye kupeleka damu kwenye sehemu ya ubongo (brain). KAMA damu haifiki au ikipungua sana kufika kwenye ubongo maana yake kutakuwa na ukosefu pia wa Oxygen and glucose (chakula) kwenye ubongo. Ukosefu wa oxygen kwenye ubongo japo kwa dakika chache tu unasababisha uharibifuuharibifu wa tissue za ubongo na upotevu wa kumbukumbu (blackout).

Misuli ya ubongo ikiharibika ni vigumu sana kurudi kwenye utimamu wake wa afya 100% kwa muda mfupi. Na kama ubongo utakosa oxygen kwa dk 4 tu mfululizo inaweza kusababisha uharibifu usiotibika tena (irreversible brain damage). Hivyo, mtu yeyote ambaye imegundulika kuwa amewahi kupoteza kumbukumbu zake hawezi kupewa kazi inayohitaji utimamu mkubwa wa akili. Hapewi kazi zinazohitaji matumizi makubwa ya akili jeshini, ofisini, nk, maana ana uwezekano mkubwa ama wa kuzimia tena, kufanya maamuzi yasiyo sahii, kutamka maneno yasiyokusudiwa au kufanya visivyo sahihi.

Kama Ally Kamwe imethibitika kuwa amewahi kupoteza kumbukumbu kwa muda fulani, sio vema kupewa majukumu makubwa ya taasisi yanayohitaji kufikiria, kuamua, kusema au kutenda kwa usahihi mkubwa sana. Vingine jamii ivumilie tu atakachofanya, sema, amua na kutenda.
 
Unapomuona mtu amezimia/amezirai maana yake kulikuwa na shida kwenye kupeleka damu kwenye sehemu ya ubongo (brain). KAMA damu haifiki au ikipungua sana kufika kwenye ubongo maana yake kutakuwa na ukosefu pia wa Oxygen and glucose (chakula) kwenye ubongo. Ukosefu wa oxygen kwenye ubongo japo kwa dakika chache tu unasababisha uharibifuuharibifu wa tissue za ubongo na upotevu wa kumbukumbu (blackout).

Misuli ya ubongo ikiharibika ni vigumu sana kurudi kwenye utimamu wake wa afya 100% kwa muda mfupi. Na kama ubongo utakosa oxygen kwa dk 4 tu mfululizo inaweza kusababisha uharibifu usiotibika tena (irreversible brain damage). Hivyo, mtu yeyote ambaye imegundulika kuwa amewahi kupoteza kumbukumbu zake hawezi kupewa kazi inayohitaji utimamu mkubwa wa akili. Hapewi kazi zinazohitaji matumizi makubwa ya akili jeshini, ofisini, nk, maana ana uwezekano mkubwa ama wa kuzimia tena, kufanya maamuzi yasiyo sahii, kutamka maneno yasiyokusudiwa au kufanya visivyo sahihi.

Kama Ally Kamwe imethibitika kuwa amewahi kupoteza kumbukumbu kwa muda fulani, sio vema kupewa majukumu makubwa ya taasisi yanayohitaji kufikiria, kuamua, kusema au kutenda kwa usahihi mkubwa sana. Vingine jamii ivumilie tu atakachofanya, sema, amua na kutenda.
Duh wamembebesha tena yale madude? Hii ni mara ya pili.. Ya tatu.. Mmh
 
Mbona anapiga kazi fresh ni very creative
Sijasema hawezi kufanya kazi kabisa, ila siku ikitokea kasema, kaamua au katenda usivyotarajia using'ake, ni kawaida kwa watu waliowahi kuzimia. Kama huamini ninachosema Hebu jaribu kumpa challenge uone atakavyoitatua au react.
 
Kwani amezimia tena au unarejea kwa tukio lile lile la Wakati ule?
 
Unapomuona mtu amezimia/amezirai maana yake kulikuwa na shida kwenye kupeleka damu kwenye sehemu ya ubongo (brain). KAMA damu haifiki au ikipungua sana kufika kwenye ubongo maana yake kutakuwa na ukosefu pia wa Oxygen and glucose (chakula) kwenye ubongo. Ukosefu wa oxygen kwenye ubongo japo kwa dakika chache tu unasababisha uharibifuuharibifu wa tissue za ubongo na upotevu wa kumbukumbu (blackout).

Misuli ya ubongo ikiharibika ni vigumu sana kurudi kwenye utimamu wake wa afya 100% kwa muda mfupi. Na kama ubongo utakosa oxygen kwa dk 4 tu mfululizo inaweza kusababisha uharibifu usiotibika tena (irreversible brain damage). Hivyo, mtu yeyote ambaye imegundulika kuwa amewahi kupoteza kumbukumbu zake hawezi kupewa kazi inayohitaji utimamu mkubwa wa akili. Hapewi kazi zinazohitaji matumizi makubwa ya akili jeshini, ofisini, nk, maana ana uwezekano mkubwa ama wa kuzimia tena, kufanya maamuzi yasiyo sahii, kutamka maneno yasiyokusudiwa au kufanya visivyo sahihi.

Kama Ally Kamwe imethibitika kuwa amewahi kupoteza kumbukumbu kwa muda fulani, sio vema kupewa majukumu makubwa ya taasisi yanayohitaji kufikiria, kuamua, kusema au kutenda kwa usahihi mkubwa sana. Vingine jamii ivumilie tu atakachofanya, sema, amua na kutenda.
Ndiyo maana siku hizi anaropoka sana wakati mwingine hata kuiletea Club fedheha, mfano ni alivyolikomalia sakata la Kagoma hadi kufikia kusema kuwa hilo aachiwe yeye atalimaliza.
 
Ndiyo maana siku hizi anaropoka sana wakati mwingine hata kuiletea Club fedheha, mfano ni alivyolikomalia sakata la Kagoma hadi kufikia kusema kuwa hilo aachiwe yeye atalimaliza.
Watu waliowahi kuzirai au wenye shida ya upungufu wa oxygen kwenye ubongo (asthma/moyo) huwa na tabia ya ku over do au under do mambo. Wana hasira za karibu wanapokabiliana na changamato, ni rahisi kuzira/kususa na kukata tamaa kama mambo hayaendi kama wanavyotaka.

Wakati ya ajira mpya ndiyo maana mwajili anaomba upekeke pia au ufanyiwe medical examination na kupata medical history ya muombaji. Katika nchi nyingine medical examination na medical history ni muhimu kwa kila mtu anaewania nafasi ya uongozi wa kampuni kubwa, taasisi au serikali. Mtu mwenye njaa ya oxygen mwilini ni rahisi kufanya maamuzi yanayomshangaza kila mtu.
 
Kama hawalingani kiubora mbona yanga hakwenda nusu?
Akwenda nusu kwa dhuluma, kwani ukuona kilichotokea south Africa? Au ulikuwa wapi kipindi icho, kawaulize wenzako kilichotokea kama ukuona!
 
Sijasema hawezi kufanya kazi kabisa, ila siku ikitokea kasema, kaamua au katenda usivyotarajia using'ake, ni kawaida kwa watu waliowahi kuzimia. Kama huamini ninachosema Hebu jaribu kumpa challenge uone atakavyoitatua au react.
Ahmed Ally mara nyingi amekuwa akisema yasiyoeleweka. Nadhani tuanze na huyu kumpeleka Mlonganzila.
 
Akwenda nusu kwa dhuluma, kwani ukuona kilichotokea south Africa? Au ulikuwa wapi kipindi icho, kawaulize wenzako kilichotokea kama ukuona!
Eti dhulma, mlikuwa wapi hadi mnadhulumiwa? Na nyie si mngedhulumu tu
 
Back
Top Bottom