Baada ya Azam kuondolewa CAFC, kituo kinachofwata msimbazi Simba mjiandae

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Sio kwania mbaya ama nawatisha vizuri mkawa sawa kisaikolojia. Baada ya Azam FC kutupwa nje na APR ya Rwanda katika mashindao ya CAF Champions ligi . Wanaofwata ni Simba SC katika kombe la Shirikisho la Afrika

Mashabiki mjiandae kisaikolojia
Sawa.Kwa hiyo utapika wali au uji kusherehekea?
 
Lipo wazi msimu huu timu ya kimataifa ni moja tu Tanzania young Africa hata wanasimba wote wanaifuatilia hiyo.
 
Ule uwanja unajaa mashabiki wa Simba kuliko yanga mecchi za yanga

Tunahitaji kuanza kukagua kadi. ..aiwezekan wengine tunabak nje
 
Yaan hata sura za mashabiki hazina nuru kabisa wamechoka
 
Poleeeeee babuuu wee!!
Simba to the final CAFCC, wee huogopiiiii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…