Walishandaliwa walisha ambiwa waahirishe furaha timu inajengwaSisokwaniambaya ama nawatisha vzuri mkawa OK kisaikolojia
Baada ya kutoka azam
Wanaofwata n simba sc
Mashabiki mjiandae kisaikolojia..
Sawa.Kwa hiyo utapika wali au uji kusherehekea?Sio kwania mbaya ama nawatisha vizuri mkawa sawa kisaikolojia. Baada ya Azam FC kutupwa nje na APR ya Rwanda katika mashindao ya CAF Champions ligi . Wanaofwata ni Simba SC katika kombe la Shirikisho la Afrika
Mashabiki mjiandae kisaikolojia
Lipo wazi msimu huu timu ya kimataifa ni moja tu Tanzania young Africa hata wanasimba wote wanaifuatilia hiyo.Sio kwania mbaya ama nawatisha vizuri mkawa sawa kisaikolojia. Baada ya Azam FC kutupwa nje na APR ya Rwanda katika mashindao ya CAF Champions ligi . Wanaofwata ni Simba SC katika kombe la Shirikisho la Afrika
Mashabiki mjiandae kisaikolojia.
Soma Pia: FT: CAFCL | APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | π Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024
Ni vema uchinje paka.Supu
Hayo maneno msije kuyakataa.Ishi nayo.Lipo wazi msimu huu timu ya kimataifa ni moja tu Tanzania young Africa hata wanasimba wote wanaifuatilia hiyo.
Hongereni ubingwa wa caf mtachukuaKazi wanayooo
Wanalo hilo lao.Sio kwania mbaya ama nawatisha vizuri mkawa sawa kisaikolojia. Baada ya Azam FC kutupwa nje na APR ya Rwanda katika mashindao ya CAF Champions ligi . Wanaofwata ni Simba SC katika kombe la Shirikisho la Afrika
Mashabiki mjiandae kisaikolojia.
Soma Pia: FT: CAFCL | APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | π Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024
Inanikumbusha neno hili, tired facesYaan hata sura za mashabiki hazina nuru kabisa wamechoka