Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi appontee position zenye mda maalumu renewableWametumia tafsida kusema "anayemaliza muda wake" badala ya kusema katumbuliwa.Kwani ukurugenzi huwa una muda,si hadi anapostaafu?
Huyu alikuwa mpumbavu sana na mwizi sana mfuko umeisha tunatoa Hela nyinyi sana yeye hawezi kusimamia msengerema huyu!Aliyekuwa mkurugemzi mkuu NHIF , Bernard konga kamaliza muda wake na nafasi yake amekaimu Grace Temba .
Nini tutegemee katika huu mfuko wa Taifa ambao Changamoto haizawahi kuisha
Na tushauri nini kwa Uongozi mpya au tunaokwenda kupata ?
View attachment 3067473View attachment 3067475
Amemaliza mkataba wake kwa mujibu wa ajira aliyopewaWametumia tafsida kusema "anayemaliza muda wake" badala ya kusema katumbuliwa.Kwani ukurugenzi huwa una muda,si hadi anapostaafu?
Na Mkapa alieanzisha huu mfuko nae alikuwa Mpuuzi sana alikwepa kuwatibutibu watumishi wa uma! Jinga sana!Huyu alikuwa mpumbavu sana na mwizi sana mfuko umeisha tunatoa Hela nyinyi sana yeye hawezi kusimamia msengerema huyu!
😂😁😂😁😁😂Na Mkapa alieanzisha huu mfuko nae alikuwa Mpuuzi sana alikwepa kuwatibutibu watumishi wa uma! Jinga sana!
Matatizo ya usimamizi ndani ya serikali na taasisi zake yanaanzia kwenye namna anavyopatikana mkuu wa taasisi! Kama kweli ipo dhamira njema basi tuanzie hapa..nafasi ya MKURUGENZI NHIF ITANGAZWE watu waombe wasailiwe atakayeshinda apewe nafasi atekeleze kwa uhuru maono yake kuitengeneza NHIF kwa faida ya watanzania.Aliyekuwa mkurugemzi mkuu NHIF , Bernard konga kamaliza muda wake na nafasi yake amekaimu Grace Temba .
Nini tutegemee katika huu mfuko wa Taifa ambao Changamoto haizawahi kuisha
Na tushauri nini kwa Uongozi mpya au tunaokwenda kupata ?
View attachment 3067473View attachment 3067475