Baada ya Binti wa kazi kuaga...

Atakosa fangasi kweli mdomoni?waambie wamuwahishe hospitali kabla ajaanza kupauka,na kuwa kama mlevi wa gongo.
 
walisha sema kazi kulea, sasa inapotokea kazi imekushinda matokeo yake ndiyo hayo
 
Hapo BABA kashindwa tu kulalamika nae.......''ntat@#@#@ wapi?'':lol:
 

nakubaliana na wewe ila sasa tatizo akinogewa ndo na kazi huwa wanaacha au la utaskia ana mimba na ujeuri huwa unaanzaga sijui kwa nini?
 

Duu, hii sikupata kuifikiria kabisa. Ama kweli ny*ge ni balaaa.
 
Hususani Baba Mwenye nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…