Baada ya chanjo ya Corona, Watu wanatakiwa kuendelea kuvaa barakoa?

Baada ya chanjo ya Corona, Watu wanatakiwa kuendelea kuvaa barakoa?

stakehigh

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
7,134
Reaction score
4,556
Nimekuwa nikifuatilia upokeaji wa chanjo ya corona Kenya toka ilipoanza kutolewa, hii ikanifanya nimtafute rafiki yangu wa Kenya kumuuliza kama wanaendelea kuvaa barakoa baada ya chanjo, na cha ajabu nilishtuka kupata jibu kwamba lazima uendelee kuvaa barakoa hata kama una certificate ya chanjo!

- Kidogo napata wasiwasi kuhusu utendaji kazi wa hii chanjo haswa pale ninaposkia watu wanakufa na Corona hata baada ya kupata chanjo

Kwa wale wengine ambao mpo diaspora tupeni mrejesho
 
"The Great Reset" hill neno viongozi wengi wakubwa for the past year wamelisema .huu ugonjwa upo lkni nabaki najiuliza was the vaccine for Covid-19 or Was covid-19 for the vaccine.
 
Unatakiwa kuvaa kwa sababu unaweza kuambukizwa
 

Attachments

  • 13283931_fbimg16096152239002476_jpeg36f179d7e5ae27d7c77a82bd94f8c0fa.jpeg
    13283931_fbimg16096152239002476_jpeg36f179d7e5ae27d7c77a82bd94f8c0fa.jpeg
    46 KB · Views: 2
Nimekuwa nikifuatilia upokeaji wa chanjo ya corona Kenya toka ilipoanza kutolewa, hii ikanifanya nimtafute rafiki yangu wa Kenya kumuuliza kama wanaendelea kuvaa barakoa baada ya chanjo, na cha ajabu nilishtuka kupata jibu kwamba lazima uendelee kuvaa barakoa hata kama una certificate ya chanjo!

- Kidogo napata wasiwasi kuhusu utendaji kazi wa hii chanjo haswa pale ninaposkia watu wanakufa na Corona hata baada ya kupata chanjo

Kwa wale wengine ambao mpo diaspora tupeni mrejesho
Akili yako ni fupi sana.
Kama umeiweka akili yako kupinga chanjo hata ueleweshweje hutoelewa.

Chanjo inaenda kujemga mwili ili uweze kupambana na virusi.

Chanjo sio dawa ya corona.

Acha upimbi na umeko.

Mnatupotezea muda kuanza kuelewesha majitu ambayo hayataki yaelewe.
 
Wanaotengeneza hizo chanjo hawataki kuwa responsible kama ikitokea tatizo. Kama ikitokea shida serikali husika ndio watakaokuwa answerable kwa wananchi wao
 
Akili yako ni fupi sana.
Kama umeiweka akili yako kupinga chanjo hata ueleweshweje hutoelewa.

Chanjo inaenda kujemga mwili ili uweze kupambana na virusi.

Chanjo sio dawa ya corona.

Acha upimbi na umeko.

Mnatupotezea muda kuanza kuelewesha majitu ambayo hayataki yaelewe.
huna akili ndiyo maana unapayuka bila sababu sasa kama chanjo inaenda kujenga nguvu za mwili kupambana na ugonjwa utaambukizwaje tena wakati tayari kinga unayo ya kutosha?
 
"The Great Reset" hill neno viongozi wengi wakubwa for the past year wamelisema .huu ugonjwa upo lkni nabaki najiuliza was the vaccine for Covid-19 or Was covid-19 for the vaccine.

tunavaa barakoa ama hatuvai baada ya chanjo?
 
Akili yako ni fupi sana.
Kama umeiweka akili yako kupinga chanjo hata ueleweshweje hutoelewa.

Chanjo inaenda kujemga mwili ili uweze kupambana na virusi.

Chanjo sio dawa ya corona.

Acha upimbi na umeko.

Mnatupotezea muda kuanza kuelewesha majitu ambayo hayataki yaelewe.

elewa swali kwanza
 
Nimekuwa nikifuatilia upokeaji wa chanjo ya corona Kenya toka ilipoanza kutolewa, hii ikanifanya nimtafute rafiki yangu wa Kenya kumuuliza kama wanaendelea kuvaa barakoa baada ya chanjo, na cha ajabu nilishtuka kupata jibu kwamba lazima uendelee kuvaa barakoa hata kama una certificate ya chanjo!

- Kidogo napata wasiwasi kuhusu utendaji kazi wa hii chanjo haswa pale ninaposkia watu wanakufa na Corona hata baada ya kupata chanjo

Kwa wale wengine ambao mpo diaspora tupeni mrejesho
Chanjo haikuzuii kubeba virusi vya Korona kwa sababu viko nje ya mwili wako, chanji inazuia wewe kuugua. MTU aliyechanjwa anaweza kuvibeba virusi na kumpa mtu mwingine. Endelea kuchukua tahadhari ya kunawa mara kwa mara.
 
Akili yako ni fupi sana.
Kama umeiweka akili yako kupinga chanjo hata ueleweshweje hutoelewa.

Chanjo inaenda kujemga mwili ili uweze kupambana na virusi.

Chanjo sio dawa ya corona.

Acha upimbi na umeko.

Mnatupotezea muda kuanza kuelewesha majitu ambayo hayataki yaelewe.
Nini maana ya chanjo sasa?
 
Ujerumani baada ya watu kuanza kupata chanjo na Corona kaanza kupamba moto

Wanatangaza kurudisha marufuku kadhaa

Kwaheri Mwamba katika miamba ya Africa Dr JPM
 
Nimekuwa nikifuatilia upokeaji wa chanjo ya corona Kenya toka ilipoanza kutolewa, hii ikanifanya nimtafute rafiki yangu wa Kenya kumuuliza kama wanaendelea kuvaa barakoa baada ya chanjo, na cha ajabu nilishtuka kupata jibu kwamba lazima uendelee kuvaa barakoa hata kama una certificate ya chanjo!

- Kidogo napata wasiwasi kuhusu utendaji kazi wa hii chanjo haswa pale ninaposkia watu wanakufa na Corona hata baada ya kupata chanjo

Kwa wale wengine ambao mpo diaspora tupeni mrejesho
Bila kisahau kukaa ndani.Ulaya naona wameanza lockdown kwa mara nyingine,BBC juzi wametangaza wimbi la tatu la maambukizi ambalo litakuwa baya kuliko la kwanza na la pili.

Uwe umepata chanjo au hujapata wote lockdown inawahusu.
 
huna akili ndiyo maana unapayuka bila sababu sasa kama chanjo inaenda kujenga nguvu za mwili kupambana na ugonjwa utaambukizwaje tena wakati tayari kinga unayo ya kutosha?
Yaani wapumbavu kama wewe huwa naona uvivu kuwaelewesha.

Ukichomwa sindano ya chanjo haiende moja kwa moja kuusaidia mwili kutengeneza kinga.

Inachukua muda. ( katafiti mwenyewe )
Na chanjo zingina unatakiwa urudie kuchoma baada ya wiki tatu.

WaZiri mkuu wa Pakistani alichoma sindano ila akaipata korona.

Walivyotafiti wakasema alikuwa ameshaambukizwa kabla ya kuchoma.

Ila wewe kama huamini korono nani kakulazimisha kuchoma sindano? Au kuvaa barakoa?
Hamjalazimishwa ila msitupangie sisi ambao tunaitaka chanjo

Kenge ww. Sitapoteza muda kukuelewesha tena maana ww ni mkaidi kama meko
 
Yaani wapumbavu kama wewe huwa naona uvivu kuwaelewesha.

Ukichomwa sindano ya chanjo haiende moja kwa moja kuusaidia mwili kutengeneza kinga.

Inachukua muda. ( katafiti mwenyewe )
Na chanjo zingina unatakiwa urudie kuchoma baada ya wiki tatu.

WaZiri mkuu wa Pakistani alichoma sindano ila akaipata korona.

Walivyotafiti wakasema alikuwa ameshaambukizwa kabla ya kuchoma.

Ila wewe kama huamini korono nani kakulazimisha kuchoma sindano? Au kuvaa barakoa?
Hamjalazimishwa ila msitupangie sisi ambao tunaitaka chanjo

Kenge ww. Sitapoteza muda kukuelewesha tena maana ww ni mkaidi kama meko

chanjo haiko ivo:
-> chanjo ya corona ni corona aliefubaa, kwahio ni lazima mwili ureact haraka kwenye huyo virus aliefubaa alafu inacopy RNA yake kwa cells zingine, kwa kua corona wa chanjo anakua amefubaa means mwili utapambana nae as soon as anaonekana kwenye cells ndo maaana unachomwa direct kwenye damu haumezi kama dawa kusubiri iwe soluble kwenye dam!

->ukipewa chanjo ingine mfano polio, as soon as umepata chanjo kuanzia the next day uko fiti na hautapata polio tena daima
-> ni vema ukawa unafanya reearch kwanza kabla ya kuropoka
 
Back
Top Bottom