Huwezi kumfananisha Saida na takeu japo wote walivuma katika enzi moja. Na ndio maana hata baada ya umaarufu wa awali kuisha bado Saida ameendelea kuhit kwenye shughuli tofauti za kijamii katika burudani lakini huyu mwingine alipotea kabisa.
Na sio ajabu katika wimbo wa diamond inaelekea wa zamani unaupa kick mpya. Hivyo clouds wanamwamsha mnyama aliyelala lakini huyu mwingine ni kama mnyama aliyezimia kama sio ku..a!