Baada ya DART: Je usafiri na baishara ya Daladala itakuwaje?

Baada ya DART: Je usafiri na baishara ya Daladala itakuwaje?

wehoodie

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2011
Posts
1,031
Reaction score
1,013
Wanasema siku zote katika biashara na ujasiriamali wanaofanikiwa ni wale wanaoweza kuyaona mabadiliko na kuweza kuchukua hatua za kubadilika kufuatana na hayo mabadiliko. Mfano mzuri ni kampuni ya simu ya Nokia ambayo ilikuwa kampuni kubwa duniani kwa uuzaji wa simu haswa za bei ya chini na ambazo zilijikita kwenye mawasiliano tu.

Lakini mabadiliko ya teknolojia yakasabaisha watu waanze kutumia simu za kisasa (smart phones), Nokia hawakutarajia haya mabadiliko na hivyo....kushindwa kumudu ushindani kutoka Samsung, Apple, HTC, BlackBerry ambao tayari waliwekeza katika simu za kisasa...hivi majuzi, Nokia imenunuliwa na Microsoft kwa bei ya kutupwa baada ya kushindwa kujiendesha.......

Sasa nikirudi kwenye swali langu la msingi ni kuwa, je kwa wale ambao mpo summatra, na mnaohusika kwa ukaribu na ujenzi wa miundombinu wa barabara za mabasi kasi, hivi hayo mabasi kasi yataletwa na nani? Je haya madalaala yaliopo bado yataendelea kufanya kazi? Je biashara hiyo itaendlea kuendeshwa kama ilivyo sasa???

Ahsanteni....
 
Juzi kulikuwa na mkutano wa wadau juu ya mada hii. Nakumbuka wamilki wote wa daladala walitakiwa kwenda na leseni. Wewe ulikuwa wapi?
 
ndugu,zile gari hazitasimama kila kituo,so magpari yatakuwa kwa watu wa karibu karibu.ila kama unaenda kivukon,k koo,na ndo maana kuna barabara za magari ya kawaida pemben.alafu gar za dart ztakuwa chache.na maeneo mengne hazpit.baadae xana kifikia kuyaondoa madaladala.NI MTAZAMO TU
 
Back
Top Bottom