Baada ya Davido kubuma aanza kuimba nyimbo za Diamond kwenye show zake

Mleta mada, siku nyingine shirikisha ubongo kidogo kabla hujaandika kitu. Wasanii kuimba nyimbo alizoshirikishwa ni kitu cha kawaida sana. Kwani ni mara ngapi Diamond kaimba nyimbo za wengine mfano wimbo wa Ney wa Mitego Muziki gani, Diamond anauimba karibu kila shoo je naye tuseme amebuma? Wakati mwingine tujifunze appreciation wanayotoa wale tunaowashirikisha kwenye nyimbo zetu. Kitendo alichofanya Davido ni uungwana na kwa upande mwingine kinampromote Diamond huko Ufaransa.
 

Hii ni huko Paris,Ufaransa
Teh teh.. kiba amewatoa jasho la meno sasa mmeanza na Davido..
Huyo ndo atawazika kabisa tuwasahau tena umenikumbusha ule wimbo wake wa Africas coolest kids hebu niusikilize kidogo
 
kolabo it means kushirikiana kwa maana hiyo wimbo ni wao wote
 
Mtu anapiga show Paris unasema kabuma?? [HASHTAG]#SMDH[/HASHTAG]
 
Mashabiki uchwara ndiyo wanao tengeneza mabeef baina ya mwanamziki na mwanamziki na mashabiki!

Hiyo ipo popote pale duniani! TI alivyo kuja bongo mbona alikuwa anaimba nyimbo za wasanii wengine wa Marekani!

Wee jamaa inaonekana una roho mbaya sana
 
Teh teh.. kiba amewatoa jasho la meno sasa mmeanza na Davido..
Huyo ndo atawazika kabisa tuwasahau tena umenikumbusha ule wimbo wake wa Africas coolest kids hebu niusikilize kidogo
kiba ha ha ha ha ha
siku hizi ni diamond vs darassa kiba anapotea
 
Teh teh.. kiba amewatoa jasho la meno sasa mmeanza na Davido..
Huyo ndo atawazika kabisa tuwasahau tena umenikumbusha ule wimbo wake wa Africas coolest kids hebu niusikilize kidogo
Na nyie huwa hata hamjishitukii mnapo mfanananisha Diamond na Alikiba? Upuuzi mwingine muwe majaribu kuuficha. Kiba ana nini cha kuweza kumfikia Diamond? Ifike mahali muache kulinganisha Cessna 172 Skyhawk na Boeing 787-8. Mwambie Alikiba atengeneze kwanza soko la muziki wake badala ya kufikiria Diamond ambaye yupo mbali kimuziki na mafanikio.
 
Teh teh.. kiba amewatoa jasho la meno sasa mmeanza na Davido..
Huyo ndo atawazika kabisa tuwasahau tena umenikumbusha ule wimbo wake wa Africas coolest kids hebu niusikilize kidogo
Bila shaka umeanza kumashabikia huyo aliyezawadiwa tuzo tatu jana, maana ungekuwa ni shabiki wake wa siku zote ungeona aibu kama wenzako ambao kwa sasa wameshaachana nae na kumfananisha na MOND.
 
Bila shaka umeanza kumashabikia huyo aliyezawadiwa tuzo tatu jana, maana ungekuwa ni shabiki wake wa siku zote ungeona aibu kama wenzako ambao kwa sasa wameshaachana nae na kumfananisha na MOND.
Hayo maneno kwa kuwa hulipii VAT ongea tu
 
Hayo maneno kwa kuwa hulipii VAT ongea tu
Kwani ulipoongea wewe ulilipia ..........Kiba hana anachomfikia DIAMOND kwa lolote wenzako walishaachaga kumfananisha na mtu anayefanya shoo popote Africa na akajaza akapata shangwe la kutosha,sasa huyo jamaa yako shoo zake ni za bongo tena za matukio (sio rasmi kwa ajilia yake) na akienda nje basi ni Mombasa na zenyewe za matukio sio rasmi kwaajili yake,au awe msindikizaji kwa kuchomekwa na yule ndugu yake wa Mombasa. Acha kufananisha baiskeli na private jet unafeli, kisa eti vyote vyombo vya usafiri.
 
We jamaa una matatizo mi sijawahi kuanzisha thread eti kumponda Diamond au kumfananisha na kiba ila huwa mnakera hamuwezi mkamuongelea boss wenu bila kumtaja kiba wakati at the same time mi mwenyewe binafsi simkubali bosi wenu.. hata mkishinda tuzo basi lazima mrushe vijembe nyie wanaume wa wapi? Mi nafikiri mshauriane mfocus kwenye mambo yenu muache mipasho mara hawatoweza, mara wanakodoa kodo, mara wamekaa.... mambo ya kiswahili haya umasikini wa fikra mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…