babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,643
- 3,301
Davido amebuma? ebu acheni upuuzi Davido masanii mkubwa sana hawezi tegemea nyimbo1 tu tena aliyoshirikishwaSasa kubuma kwa davido kuna uhusiano gani n kiba
Hayo ni mambo ya kusadikika mara ametumia Id feki, mara wa kuja na kuondoka... Msimkane mtoa mada anaonekana kabisa ni fan wa DiamondNaona unazidi kumbwela mbwela tu hapa! Swali lilikuwa ni nani kaleta habari za Kiba kwenye huu uzi!! Sasa mara oh, mada ya kizushi; mara mnatafuta kiki... mara Davido... vp jombaa?! Halafu unasema mashabiki wa Chibu wanatafuta kiki lakini kwa wafuasi wa hili jukwaa wanafahamu hao wachangiaji wa mwanzo mwanzo ambao wamem-criticise mleta mada ni mashabiki wa Diamond hao!!! Huyo mleta mada ama atakuwa ametumia ID nyingine au ni wale wa kuingia na kuondoka!!! Sasa kama tunatafuta nini ni kwanini basi mashabiki hao hao unaosema wanatafuta kiki ndio wamempinga jamaa!!!
Bro umemaliza...upo smart sana unawachana timu bushmanKwani ulipoongea wewe ulilipia ..........Kiba hana anachomfikia DIAMOND kwa lolote wenzako walishaachaga kumfananisha na mtu anayefanya shoo popote Africa na akajaza akapata shangwe la kutosha,sasa huyo jamaa yako shoo zake ni za bongo tena za matukio (sio rasmi kwa ajilia yake) na akienda nje basi ni Mombasa na zenyewe za matukio sio rasmi kwaajili yake,au awe msindikizaji kwa kuchomekwa na yule ndugu yake wa Mombasa. Acha kufananisha baiskeli na private jet unafeli, kisa eti vyote vyombo vya usafiri.
Siyo mshabiki wa Daimond Huyo..vishabiki vya bushman hvyoHayo ni mambo ya kusadikika mara ametumia Id feki, mara wa kuja na kuondoka... Msimkane mtoa mada anaonekana kabisa ni fan wa Diamond
Sasa bushman ndo naniSiyo mshabiki wa Daimond Huyo..vishabiki vya bushman hvyo
Sina haja ya kubishana na mambo yaliyo wazi... inawezekana na wewe si mteja wa mara kwa mara wa hili jukwaa manake ikiwa unashindwa hata kufahamu waliompinga ni mashabiki wa nani basi unaonekana wazi hufahamu nani yupo kambi ipi!!! Ulichoweza kudhihirisha ni kwamba akisemwa Kiba huwa inakuuma na upo tayari kuleta habari za Kiba hata kwenye mada isiyomuhusu Kiba!Hayo ni mambo ya kusadikika mara ametumia Id feki, mara wa kuja na kuondoka... Msimkane mtoa mada anaonekana kabisa ni fan wa Diamond
Kama Diamond anapotea kwanini usifurahi? Tuseme unamuonea huruma au, teh.Mnapotezana wote na boss wenu hamuangalii upande wa pili... na ofcourse nyie ni mashabiki akibuma tu mnajump the ship na mnakuwa wa kwanza kucritisize... mi nacheki movie tu ngoma ikivuma sana hupasuka
Hayo uliyoongea yanafanyakazi pia kwa kiba,maana nyinyi mnamsifia sana na sisi wengine tunamponda sana kwahiyo kama ni kupotea na nyinyi mnampoteza kiba na kesho akibuma mnajump the ship mnakuwa wa kwanza kucritisize ..... mi nacheki movie tu ngoma ikivuma sana hupasuka ...........Na amini ninachokuambia sisi tunaomponda sana ndiotuna nia ya njema nae ........Mzazi akikuchapa unaona anakuonea hakupendi lakini anaona mbali lengo ni kukurekebisha ukae kwenye mstari.Mnapotezana wote na boss wenu hamuangalii upande wa pili... na ofcourse nyie ni mashabiki akibuma tu mnajump the ship na mnakuwa wa kwanza kucritisize... mi nacheki movie tu ngoma ikivuma sana hupasuka... Na amini nnachokuambia sisi tunaomponda sana ndo tutakuwa watu wa kumsaidia maana ndo tuna nia njema nae.... Mzazi akikuchapa unaona anakuonea hakupendi lakini anaona mbali lengo ni kukurekebisha ukae kwenye mstari
Itakuwa Diamond . .unless alimuuzia . .I hope not . ..good song indeedKwani ni nani mwenye hati miliki na huo wimbo ?
I miss this girl than the way I miss Mama chige; wallah tena!Kama Diamond anapotea kwanini usifurahi? Tuseme unamuonea huruma au, teh.
Hilo halina japo chembe ya shaka... ile ngoma sio Diamond & Davido bali ni Diamond ft DavidoItakuwa Diamond . .unless alimuuzia . .I hope not . ..good song indeed