Baada ya DAWASA kukiwasha, sasa Tanesco nao wameanza kubip

Baada ya DAWASA kukiwasha, sasa Tanesco nao wameanza kubip

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Baada ya DAWASA kuamua kutotoa huduma ya maji kwa muda mrefu ambapo kwa baadhi ya maeneo tayari maji hayajatoka kwa zaidi ya miezi miwili na hamna aliewajibishwa kwa hili wala kiongozi wa serikali aliekemea, Tanesco nao wameanza kuonesha umuhimu wao kwa kuzima umeme mida ya jioni mara kadhaa na kurudisha baadae kwa hizi siku mbili.

So far nao hawajatoa ufafanuzi wowote kwa kua hizi zama sio zile za kuogopana, kufuatiliana na kutumbuana kiholela.

Tunachowashuru Tanesco wao wanahuruma na utu maana hawatuachi kuisoma namba muda mrefu kama hawa wenzao DAWASA ambao hata bila aibu wanatuma na bili za maji wakati wanajua hayatoki kitambo... Mweh!
 
Yaani huku Changanyikeni/Msewe kwa siku hizi mbili ni kata- rudisha, vifaa vyetu vya umeme viko hatarini.

Vv
 
Baada ya DAWASA kuamua kutotoa huduma ya maji kwa muda mrefu ambapo kwa baadhi ya maeneo tayari maji hayajatoka kwa zaidi ya miezi miwili na hamna aliewajibishwa kwa hili wala kiongozi wa serikali aliekemea, Tanesco nao wameanza kuonesha umuhimu wao kwa kuzima umeme mida ya jioni mara kadhaa na kurudisha baadae kwa hizi siku mbili.

So far nao hawajatoa ufafanuzi wowote kwa kua hizi zama sio zile za kuogopana, kufuatiliana na kutumbuana kiholela.

Tunachowashuru Tanesco wao wanahuruma na utu maana hawatuachi kuisoma namba muda mrefu kama hawa wenzao DAWASA ambao hata bila aibu wanatuma na bili za maji wakati wanajua hayatoki kitambo... Mweh!
Apewe DP world
 
Back
Top Bottom