Baada ya Dotto 'Kuchomoa' Bukoba huenda Leo na Kulwa nae 'akachomoa' huko Sumbawanga

Baada ya Dotto 'Kuchomoa' Bukoba huenda Leo na Kulwa nae 'akachomoa' huko Sumbawanga

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Taarifa za ndani kabisa ambazo GENTAMYCINE nimezipata ni kwamba hili la Ugonjwa ni sababu tu ila tatizo ni Uvaaji wa Nenbo ya akina 'Samjo Samjo' GSM.

Inasemekana kuwa endapo Simba SC jana ingecheza bila Nenbo ya akina 'Samjo Samjo' GSM basi TFF ingeshtakiwa nao kwa Kukiuka taratibu za Makubaliano yao waliyoyafanya Chumbani kutokana na Njaa zao.

Hivyo basi kutokana na Kitendo cha TFF kuzibeba na Kuziogopa hizi Timu Kongwe Mbili nchini za Simba SC na Yanga SC na vyenyewe sasa vimeamua 'Kuipelekesha' TFF vile watakavyo na hawafanywi Wowote hali inayoashiria huenda huko mbeleni Ligi Kuu yetu ikaharibika.

Baada ya kutokea kilichotokea Watu wa Yanga SC waliamua kufanya Ujasusi na kugundua kuwa tatizo ni Nembo ya GSM yao ( Mdhamini ) wao Mkuu ndiyo maana Simba SC 'imechomoa' kucheza na Kagera Sugar FC hivyo na Wao katika mtiririko ule ule wa Kuikomesha na Kuiendesha TFF vile watakavyo na Wachezaji wao Wataugua kwa Kujilazimisha ili tu na Wao wasicheze na Mechi yao iahirishwe.

Na kuonyesha kuwa hili lina Uwezekano mkubwa likatokea tayari Jana Kocha wa Yanga SC Nabi alishatuandaa Kisaikolojia kwa kusema kuwa nae ana Wachezaji Wagonjwa na leo Asubuhi hii Kocha Msaidizi wa Yanga SC Kaze kasema kuwa Wachezaji Feisal Salum 'Fei Toto' na Tonombe Mukoko ni Wagonjwa hivyo idadi ya Wachezaji Wagonjwa wa Yanga SC sasa Kuongezeka.

Tuanzeni kujiandaa Kisaikolojia kuhusiana na Mechi hii ikichezwa itakuwa ni Jambo jema ila kuna dalili Yanga SC ( Kulwa ) nae 'akachomoa' leo ili 'Kuikomoa' TFF juu ya 'Issue' ya Nembo ya GSM kwa Simba SC.
 
Taarifa za ndani kabisa ambazo GENTAMYCINE nimezipata ni kwamba hili la Ugonjwa ni sababu tu ila tatizo ni Uvaaji wa Nenbo ya akina 'Samjo Samjo' GSM.

Inasemekana kuwa endapo Simba SC jana ingecheza bila Nenbo ya akina 'Samjo Samjo' GSM basi TFF ingeshtakiwa nao kwa Kukiuka taratibu za Makubaliano yao waliyoyafanya Chumbani kutokana na Njaa zao.

Hivyo basi kutokana na Kitendo cha TFF kuzibeba na Kuziogopa hizi Timu Kongwe Mbili nchini za Simba SC na Yanga SC na vyenyewe sasa vimeamua 'Kuipelekesha' TFF vile watakavyo na hawafanywi Wowote hali inayoashiria huenda huko mbeleni Ligi Kuu yetu ikaharibika.

Baada ya kutokea kilichotokea Watu wa Yanga SC waliamua kufanya Ujasusi na kugundua kuwa tatizo ni Nembo ya GSM yao ( Mdhamini ) wao Mkuu ndiyo maana Simba SC 'imechomoa' kucheza na Kagera Sugar FC hivyo na Wao katika mtiririko ule ule wa Kuikomesha na Kuiendesha TFF vile watakavyo na Wachezaji wao Wataugua kwa Kujilazimisha ili tu na Wao wasicheze na Mechi yao iahirishwe.

Na kuonyesha kuwa hili lina Uwezekano mkubwa likatokea tayari Jana Kocha wa Yanga SC Nabi alishatuandaa Kisaikolojia kwa kusema kuwa nae ana Wachezaji Wagonjwa na leo Asubuhi hii Kocha Msaidizi wa Yanga SC Kaze kasema kuwa Wachezaji Feisal Salum 'Fei Toto' na Tonombe Mukoko ni Wagonjwa hivyo idadi ya Wachezaji Wagonjwa wa Yanga SC sasa Kuongezeka.

Tuanzeni kujiandaa Kisaikolojia kuhusiana na Mechi hii ikichezwa itakuwa ni Jambo jema ila kuna dalili Yanga SC ( Kulwa ) nae 'akachomoa' leo ili 'Kuikomoa' TFF juu ya 'Issue' ya Nembo ya GSM kwa Simba SC.
Yanga haina ujinga wa namna hiyo,pia simba na tff wamekubalina kuwa hawatavaa nembo,hivyo hoza zako hazina mashiko

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Yanga haina ujinga wa namna hiyo,pia simba na tff wamekubalina kuwa hawatavaa nembo,hivyo hoza zako hazina mashiko

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kwa hizi timu mbili usitetee mmojawapo eti yeye huwa hafanyi ujinga wa namna hiyo. Mara ngapi Yanga anagomea mechi ? Hadi kombe la kagame alishawahi kugomea . Hata simba nao ni hivyohivyo. Tukubali tu kwamba hizi timu ni tatizo.
 
Taarifa za ndani kabisa ambazo GENTAMYCINE nimezipata ni kwamba hili la Ugonjwa ni sababu tu ila tatizo ni Uvaaji wa Nenbo ya akina 'Samjo Samjo' GSM.

Inasemekana kuwa endapo Simba SC jana ingecheza bila Nenbo ya akina 'Samjo Samjo' GSM basi TFF ingeshtakiwa nao kwa Kukiuka taratibu za Makubaliano yao waliyoyafanya Chumbani kutokana na Njaa zao.

Hivyo basi kutokana na Kitendo cha TFF kuzibeba na Kuziogopa hizi Timu Kongwe Mbili nchini za Simba SC na Yanga SC na vyenyewe sasa vimeamua 'Kuipelekesha' TFF vile watakavyo na hawafanywi Wowote hali inayoashiria huenda huko mbeleni Ligi Kuu yetu ikaharibika.

Baada ya kutokea kilichotokea Watu wa Yanga SC waliamua kufanya Ujasusi na kugundua kuwa tatizo ni Nembo ya GSM yao ( Mdhamini ) wao Mkuu ndiyo maana Simba SC 'imechomoa' kucheza na Kagera Sugar FC hivyo na Wao katika mtiririko ule ule wa Kuikomesha na Kuiendesha TFF vile watakavyo na Wachezaji wao Wataugua kwa Kujilazimisha ili tu na Wao wasicheze na Mechi yao iahirishwe.

Na kuonyesha kuwa hili lina Uwezekano mkubwa likatokea tayari Jana Kocha wa Yanga SC Nabi alishatuandaa Kisaikolojia kwa kusema kuwa nae ana Wachezaji Wagonjwa na leo Asubuhi hii Kocha Msaidizi wa Yanga SC Kaze kasema kuwa Wachezaji Feisal Salum 'Fei Toto' na Tonombe Mukoko ni Wagonjwa hivyo idadi ya Wachezaji Wagonjwa wa Yanga SC sasa Kuongezeka.

Tuanzeni kujiandaa Kisaikolojia kuhusiana na Mechi hii ikichezwa itakuwa ni Jambo jema ila kuna dalili Yanga SC ( Kulwa ) nae 'akachomoa' leo ili 'Kuikomoa' TFF juu ya 'Issue' ya Nembo ya GSM kwa Simba SC.
Unajishusha hadhi yako kwa kuandika upumbavu. Swala la GSM vilabu 15 kati ya 16 vimeafiki. Ni Simba pekee ndiye asiyeafiki, hivyo kwa mechi ya jana Simba ni wageni hivyo hana mamlaka ya kukataa mabango yaliyopo uwanjani sababu mwenyeji ni Kagera.
 
Hakuna na maana hapo..mechi yetu Iko palepale.. hayo mambomezoea nyie tu Makolos
 
Unajishusha hadhi yako kwa kuandika upumbavu. Swala la GSM vilabu 15 kati ya 16 vimeafiki. Ni Simba pekee ndiye asiyeafiki, hivyo kwa mechi ya jana Simba ni wageni hivyo hana mamlaka ya kukataa mabango yaliyopo uwanjani sababu mwenyeji ni Kagera.

Mkuu unaweza saidia maelezo,kwanini jana Azam hajavaa nembo ya GSM kama ni kati ya walio katika zile team 15?
 
Taarifa za ndani kabisa ambazo GENTAMYCINE nimezipata ni kwamba hili la Ugonjwa ni sababu tu ila tatizo ni Uvaaji wa Nenbo ya akina 'Samjo Samjo' GSM.

Inasemekana kuwa endapo Simba SC jana ingecheza bila Nenbo ya akina 'Samjo Samjo' GSM basi TFF ingeshtakiwa nao kwa Kukiuka taratibu za Makubaliano yao waliyoyafanya Chumbani kutokana na Njaa zao.

Hivyo basi kutokana na Kitendo cha TFF kuzibeba na Kuziogopa hizi Timu Kongwe Mbili nchini za Simba SC na Yanga SC na vyenyewe sasa vimeamua 'Kuipelekesha' TFF vile watakavyo na hawafanywi Wowote hali inayoashiria huenda huko mbeleni Ligi Kuu yetu ikaharibika.

Baada ya kutokea kilichotokea Watu wa Yanga SC waliamua kufanya Ujasusi na kugundua kuwa tatizo ni Nembo ya GSM yao ( Mdhamini ) wao Mkuu ndiyo maana Simba SC 'imechomoa' kucheza na Kagera Sugar FC hivyo na Wao katika mtiririko ule ule wa Kuikomesha na Kuiendesha TFF vile watakavyo na Wachezaji wao Wataugua kwa Kujilazimisha ili tu na Wao wasicheze na Mechi yao iahirishwe.

Na kuonyesha kuwa hili lina Uwezekano mkubwa likatokea tayari Jana Kocha wa Yanga SC Nabi alishatuandaa Kisaikolojia kwa kusema kuwa nae ana Wachezaji Wagonjwa na leo Asubuhi hii Kocha Msaidizi wa Yanga SC Kaze kasema kuwa Wachezaji Feisal Salum 'Fei Toto' na Tonombe Mukoko ni Wagonjwa hivyo idadi ya Wachezaji Wagonjwa wa Yanga SC sasa Kuongezeka.

Tuanzeni kujiandaa Kisaikolojia kuhusiana na Mechi hii ikichezwa itakuwa ni Jambo jema ila kuna dalili Yanga SC ( Kulwa ) nae 'akachomoa' leo ili 'Kuikomoa' TFF juu ya 'Issue' ya Nembo ya GSM kwa Simba SC.
Mzee wa kupiga ramli. Mwanaume haogopi Vita.
 
Taarifa za ndani kabisa ambazo GENTAMYCINE nimezipata ni kwamba hili la Ugonjwa ni sababu tu ila tatizo ni Uvaaji wa Nenbo ya akina 'Samjo Samjo' GSM.

Inasemekana kuwa endapo Simba SC jana ingecheza bila Nenbo ya akina 'Samjo Samjo' GSM basi TFF ingeshtakiwa nao kwa Kukiuka taratibu za Makubaliano yao waliyoyafanya Chumbani kutokana na Njaa zao.

Hivyo basi kutokana na Kitendo cha TFF kuzibeba na Kuziogopa hizi Timu Kongwe Mbili nchini za Simba SC na Yanga SC na vyenyewe sasa vimeamua 'Kuipelekesha' TFF vile watakavyo na hawafanywi Wowote hali inayoashiria huenda huko mbeleni Ligi Kuu yetu ikaharibika.

Baada ya kutokea kilichotokea Watu wa Yanga SC waliamua kufanya Ujasusi na kugundua kuwa tatizo ni Nembo ya GSM yao ( Mdhamini ) wao Mkuu ndiyo maana Simba SC 'imechomoa' kucheza na Kagera Sugar FC hivyo na Wao katika mtiririko ule ule wa Kuikomesha na Kuiendesha TFF vile watakavyo na Wachezaji wao Wataugua kwa Kujilazimisha ili tu na Wao wasicheze na Mechi yao iahirishwe.

Na kuonyesha kuwa hili lina Uwezekano mkubwa likatokea tayari Jana Kocha wa Yanga SC Nabi alishatuandaa Kisaikolojia kwa kusema kuwa nae ana Wachezaji Wagonjwa na leo Asubuhi hii Kocha Msaidizi wa Yanga SC Kaze kasema kuwa Wachezaji Feisal Salum 'Fei Toto' na Tonombe Mukoko ni Wagonjwa hivyo idadi ya Wachezaji Wagonjwa wa Yanga SC sasa Kuongezeka.

Tuanzeni kujiandaa Kisaikolojia kuhusiana na Mechi hii ikichezwa itakuwa ni Jambo jema ila kuna dalili Yanga SC ( Kulwa ) nae 'akachomoa' leo ili 'Kuikomoa' TFF juu ya 'Issue' ya Nembo ya GSM kwa Simba SC.
Sisi sio kama nyie tumecheza na tumeshinda
 
Back
Top Bottom