Elections 2010 Baada Ya Dr. Sllaa kuisambaratisha CCM, makada wa CCM kutimkia chadema!!!!!!!!!!!!!

Elections 2010 Baada Ya Dr. Sllaa kuisambaratisha CCM, makada wa CCM kutimkia chadema!!!!!!!!!!!!!

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
Hili lisiwashitue maana sasa hivi makada wa CCM ni njaa tu imewaweka huko na wala siyo mshikamano wa ki-itikadi na baada ya JK na CCM kupigwa mwereka na Dr. Slaa usishangae kuona kadamnasi ya makada wa CCM wakikimbilia chama kipya tawala cha Chadema.

Kitakachowapeleka huko ni kusaka ulaji wa vyeo serikalini zikiwemo kandarasi mbalimbali na ibada ya kuizika rasmi CCM mimi ndiye nitakuwa kasisi wake nikisaidiwa na Malaria Sugu.


 
Halafu nyie jamani, ina maana makamba atasema WANA CCM wana Kiherehere? duh cant wait to see makamba akiifagilia CHADEMA....

Dr Slaa for Presdaaaaaaaa 2015
 
Ruta,
Sitaki kuamini kuwa serikali ya Dr Slaa nayo itatoa hivyo vyeo na kandarasi kwa utaratibu kama huu wa CCM wa vyeo kwa kujuana na kandarasi kwa kina richmond nk!
 
Halafu nyie jamani, ina maana makamba atasema WANA CCM wana Kiherehere? duh cant wait to see makamba akiifagilia CHADEMA....

Dr Slaa for Presdaaaaaaaa 2015

Makamba atakimbia hii Nji
 
Hili lisiwashitue maana sasa hivi makada wa CCM ni njaa tu imewaweka huko na wala siyo mshikamano wa ki-itikadi na baada ya JK na CCM kupigwa mwereka na Dr. Slaa usishangae kuona kadamnasi ya makada wa CCM wakikimbilia chama kipya tawala cha Chadema.

Kitakachowapeleka huko ni kusaka ulaji wa vyeo serikalini zikiwemo kandarasi mbalimbali na ibada ya kuizika rasmi CCM mimi ndiye nitakuwa kasisi wake nikisaidiwa na Malaria Sugu.



Kulikuwa kuna post za ajabu ajabu katika mwezi huu uliopita. JF folks wanapenda sana ku-react na instant newsbites. Watu hawaangalii mbali. Inanikumbusha kipindi kile CCJ ilivyoanzishwa, palikuwa hapatoshi humu ndani.

Anyways, big picture people.
 
Kulikuwa kuna post za ajabu ajabu katika mwezi huu uliopita. JF folks wanapenda sana ku-react na instant newsbites. Watu hawaangalii mbali. Inanikumbusha kipindi kile CCJ ilivyoanzishwa, palikuwa hapatoshi humu ndani.

Anyways, big picture people.

shangilia wizi wa kura na JK dhuluma aliyowafanyia watanzania...................naona hapo ndiyo patatosha......................
 
Pole kaka. Quoting Jakaya. Tunajenga nyumba moja, tusigombanie fito. InshaAllah 2015. Chadema mchango wenu umeonekana, CCM sasa hivi itakuwa makini.
 
Back
Top Bottom