Baada ya Droo ya Kafu kuna 'Litimu Libovu' naliona litaambulia Alama ( Point ) 0 au 1 tu na Kutia Aibu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Lenyewe vs Medeama Dar Sare au Litafungwa kabisa na ya marejeano kwao Ghana atafungwa Goli 5 kwa 0

Lenyewe vs CR Belzoud Dar anafungwa 4 kwa 0 na marejeano kwao Algeria atafungwa 6 kwa 0

Lenyewe vs Al Ahly hapa Dar es Salaam atafungwa 9 kwa 0 na ile ya marejeano kwao Misri ( Egypt ) watafungwa Goli 13 kwa 0

Kafu wana roho mbaya si mchezo.
 
Yanga na Al Ahly
Wataingia Robo Fainali.

Next Season Yanga watacheza Fainali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…