Baada ya engagement ring mwenzenu nimemegewa

nitafute mimi nimwaminifu natafuta mchumba:yield::yield::yield:horrra aaaaaa pole bro kwa kuvamia kichechecheee
 
kaka huyo kaa nae mbali kama moto wa petroli!! cha msingi hapo subiri mtoto azaliwe check DNA kama zinamatch mkubaliane matunzo ya hicho kimalaika. hakuna simile hapo kaka delete hadi kwenye thrash bin lasivyo utakuja juta maisha yako yotte
 
Kaka mimi mwanaume mwenzako nakushauri uamuzi uliokwisha ufanya wa kuachana naye please go on ingawaje utabakiwa na vidonda vikubwa moyoni. Huyo kwa ufupi ameshapoteza sifa ya kuwa mkewo. halafu usifikiri ameanza siku hiyo kufanya huo ufuska , ana uzoefu huyo na tayari keshampenda huyo mfanya kazi mwenzake. Mwambie aendelee na huyo jamaa . Hiyo mimba anataka kukushikiza usikubali endelea na msimamo wako hata kama home anakubalika kwani ni mke wao si wako bwana na atakaye umia ni wewe.
 
hongera sana kwa uamuzi wako huo.inaonyesha ulimuamini mno.na hongera kwa kuchukua uamuzi wa busara,maana huyo kiumbe asingetulia,watu tunawataka wanaume kama ninyi waaminifu kwa wenzi wao.huyo dada ni tapeli,maana kabla hajakuaga,honey kwa wingi.na inachosikitisha,hata mzazi wake na mdogo wake,waliuficha ukweli{unaweza ukajiuliza,au nilikuwa nachorwa tu?,jee walikuwa wanaujua uchafu wa mwanae?}
 
WE MAKALIO UNATOA USHAURI MCHAFU NA WA HOVYO HOVYO APA TENA WA KIHINI..
IVI UJISHTUKII KUWA UPO PEKE YAKO????
NAZAN UTAKUA WW NI MUHUSIKA ULIEMEGWA AU NI MDOGO MTU
>>>
Pichu yko........ dat y unawavulia wa2
ha ha ha ha unamkata mtoto asilambe sukari halafu na wewe unalamba neno PICHU YKO linatoka wapi???
 
umenena vyema
ver true
 
Halafu tunashangaa kwa nini matatizo ya ndoa yanaongezeka!!!!
 
yametokea sana hayo ndg yangu MAAMUZI NI YA KWAO, 1. Muache au 2.Msamehe uendelee nae. Kama ukimuacha ni kuwa kajihukumu yeye mwenyewe kwa kutokuwa muaminifu, Kama Ukimsamehe jua jukumu lako litakuwa kulea SISI TWALA (simaanishi mimi ) ila watakuwa wanamtafuna vibaya mno.Jiulize swali anaweza kumuacha huyo jamaa aliekuwa nae usiku huo??? Kwanza umesema unamfahamu (sijui kama yeye anakufahamu) uoni ni kukudhalilisha sana kudate na mtu anaekujua ??? yawezekana walikuwa wanafanya hayo mambo kwa muda mrefu WAKIKUCHORAAA TU!!
 

...e bana weee, mimi wala sina haja ya kukupigia story ndefu maana watu tunatofautiana uvumilivu. Ila kiukweli na kwa amani ya maisha yako hata kama unampenda vipi, ACHANA NAE. Mimi ukiniona 24/7 nashinda kwenye jukwaa hili la mahusiano na mapenzi maana yake kuna yaliyonisibu, na yaliyonisibu ni 98.9% kama hayo yako. Moto wake na machungu yake naujua. Story yako sambamba kabisa na yaliyonitokea...
Achana nae kaka, atakuja kukuumiza tu baadae. Mimi nilijifanya mstahmilivu na mvumilivu lakini tabia 'yake' haikubadilika!

Fuata ushauri wa Rose1980.
 
WE MAKALIO UNATOA USHAURI MCHAFU NA WA HOVYO HOVYO APA TENA WA KIHINI..
IVI UJISHTUKII KUWA UPO PEKE YAKO????
NAZAN UTAKUA WW NI MUHUSIKA ULIEMEGWA AU NI MDOGO MTU
>>>
Pichu yko........ dat y unawavulia wa2



mmh
 

angekuwa hajamega angeambiwa mimba ya kwake we vipi
 
WE MAKALIO UNATOA USHAURI MCHAFU NA WA HOVYO HOVYO APA TENA WA KIHINI..
IVI UJISHTUKII KUWA UPO PEKE YAKO????
NAZAN UTAKUA WW NI MUHUSIKA ULIEMEGWA AU NI MDOGO MTU
>>>
Pichu yko........ dat y unawavulia wa2

Du!!! mwanamapinduzi punguza hasira!
 
angekuwa hajamega angeambiwa mimba ya kwake we vipi

Bro wakati maji yanapozidi unga hawa viumbe hawaangalii wanajishika kwenye nini! Hata kama uliishia kunawa utastaajabu kuambiwa uliacha mzigo!
 
Sio wanawake wot e Jamani,wapo wengi tumeumizwa hata midomo haiwezi kusema tena
akheri yake amejua hayo kabla ya ndoa ,yangetokea kwenye ndoa angefanyaje:thinking:
mapenzi jamani !!!!!!!!!!!!!!!!!!!,mapenzi ah mie mwenzake kupenda tena siwenzi:A S cry: ah sijui I CAN NEVER
LOVE AGAIN,NEVER TRY AGAIN.:israel: NAKUPA POLE SIKU HAZIGANDI UTAPATA KUPOA MAJERAHA JAPO KIDOGO:sad::sad::sad::sad::sad::sad::sad::sad::sad::sad:
 
kumegewa mbona kitu cha kawaida...? na we tafuta mnyonge ummegee.. hahaha seriously broda! achana naye huyo demu, hawa mademu wa college inabidi penalt ukabe mbaya broda.. pole! ipo siku atakuja wa ukweli.. single ladies they are everywhere...
 
Najua unakwazika sio kwa kumpenda huyo msichana, ila unajutia muda (na vingine) uliowekeza kwa huyo kicheche...
Bro, accept the loss and move on....life sucks but we gotta move on!
 
WE MAKALIO UNATOA USHAURI MCHAFU NA WA HOVYO HOVYO APA TENA WA KIHINI..
IVI UJISHTUKII KUWA UPO PEKE YAKO????
NAZAN UTAKUA WW NI MUHUSIKA ULIEMEGWA AU NI MDOGO MTU
>>>
Pichu yko........ dat y unawavulia wa2
:smile-big: Kaka hapo umemaliza maana nilikuwa natafuta maneno yanayomfaa huyu mtu, but u have done it all, kenge kweli huyu jamaa
 
MONTESQUIEU Kama kakwambia ukweli msamehe, je ungekuwa wewe ndio umefanya hivyo usingependa usamehewe? Na kama bado unampenda go for her, sahau ya nyuma subiri mtoto azaliwe , mpime dna kama wa kwako wachukue mama na mwana songa mbele!

Unasema ukimaanisha hapo kwenye nyekundu? Acha kabisa ndugu mapema hivyo wako kwenye engagement tayari kashagawa? Ni mwanamke wa kuweka ndani huyo? Hapana, atakutia ungonjwa wa moyo bure ukikaa naye kwenye ndoa acahana naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…