Baada ya engagement ring mwenzenu nimemegewa


ACHA KUMDANGANYA MWENZAKO WEWE!

Maisha ya ndoa ni tougth sana yaani kuna minyukano ya kila aina yaani mtagombana, mtakwazana, ndugu watawaingiza ktk migongano ma marafiki pia. Hiyo ndio hali halisi hivyo uvumilivu na uaminifu ndio msingi mkubwa wa ndoa, huyo mchumba wako ktk amani tu kakusaliti. JIUULIZE je mkigombana au ndugu kuwaingilia mambo yenu nanyi mkafarakana kimtazamo hadi kuingia ktk mizozo ya kifamilia na amani kutoweka ndani ya nyumba hatotafuta mfaliji?

KIUKWELI jamaa aliyekumegea demu wako ni mwiba mguuni mwaka kwa maisha yako yote ya ndoa, na mbaya zaidi ni office mate wake. ndugu usijiingize ktk ndoa hiyo itakuwa msiba wako ya maisha
 
Nimesoma comment zenu wote humu ndani. You are all biased na wengi wenu huku (tena mmeolewa au kuoa na wala sio wachumba kama Pierre na msichana wake) mnatetea na kuhalalisha infidelity kila siku. That is infidelity at work.... Yani wanadamu sijui tumeumbwaje jamani, jambo hilohilo uhalalishe na hilo hilo useme ni baya. Shame on you all.

Pole Pierre, pole sana najua usaliti huo unauma. Uamuzi wa kumsamehe au kutomsamehe unao wewe. Usidanganywe hapa, wanaosema umuache ndio hao hao jana wamecheat na kesho wanapanga kuwatoroka spouses wao. Haiyumkini aliye cheat naye mchumba wako ameshasema hapa umuache (kwani utajuaje)?

Kumsamehe hakukufanyi upungue uanaume wako wala kutokumsamehe hakukufanyi ulaumiwe na jamii. The choice is yours Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…