Baada ya Ethiopia, Israel inataka kuitambua Somaliland kama nchi ili kupambana na Houthi wanaotaka kuungana na Al Shabab wa Somalia

Baada ya Ethiopia, Israel inataka kuitambua Somaliland kama nchi ili kupambana na Houthi wanaotaka kuungana na Al Shabab wa Somalia

Mr Chromium

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2020
Posts
2,761
Reaction score
3,835
Somalia inapata ugumu baada ya mambo kuzidi kwenda Kombo!

Wakati wako kwene vita ya maneno na Taifa lenye heshima kubwa Afrika kwa kutotawaliwa na wakoloni la Ethiopia, mtanange umegeuka nakua kilanga kikubwa dhidi ya Somalia hasa kwa wale wakereketwa wa “GREAT SOMALIA” baada ya Taifa dogo lenye nguvu kubwa duniani la Israel kutaka kuitambua rasmi Somaliland kua taifa huru.

KWANINI UAMUZI HUU.
Uamuzi huu unakuja baada ya vikundi vya kigaidi vya kiislam kuungana kuishambulia Israel kila kona.
Vikundi hivi ni HAMAS, HEZBOLLAH, HOUTHI

Hivi karibuni kikundi cha HOUTHI nchinin Yemeni kilitangaza kuanza kushirikiana na Alshabab wa somalia.
Taarifa hii inakua ni mbaya sana kwa israel kwa kua kitaongeza nguvu na kusambaa kwa vikundi hasimu kwa masrahi ya israel katika Pembe ya Afrika.

Aidha Taarifa hii kama HOUTHI na AL shabab wataungana basi itakua ni ndoto mbaya kutokea kwa nchi za Africa masharika za Ethiopia, Kenya, Tanzania na Uganda kwani Kimekua kikihusianisha na mashambulizi kadhaa ikiwa ni pamoja na kusababisha mgogoro mkubwa wa wakimbizi kujaa kenya na Ethiopia,Uganda.

THE GREAT SOMALIA IS DEAD AGAIN

09480D59-342B-4CBD-9BFA-6965456E1558.jpeg
 
Tanzania hatuhusiki hapo tutoemo tafadhari
Tanzania hatutishiwi na Al shabab? Kuna ugaidi ngapi imetokea Tanzania kwadababu ya link na Alshabab.

Unakumbika magaidi wanaokamatwa kenya wrngi wao wanatoka Tanzania kwenda kujiunga somalia?

fatilia vizuri mambo acha kukaa kwene vijiwe vya kahawa.
 
Israel yeye ni nani mpaka aingilie mambo ya Somalia?
Aonyeshe nguvu yake kupambana na Hayo Makundi.
Ameiona fursa mkuu, yeye hana shida na somalia ila ameiona fursa. Somalia imejaa ugaidi na maeneo mengi yanaongozwa na Al shabab ila ukienda Somaliland hamna al shabab ni amani kama vile upo tz.

Hivo Israel kwa kuitambua Somaliland kama nchi itaipa faida ya kutumia ardhi ya nchi hiyo kupambana na Houthi wa yemeni.
 
Ameiona fursa mkuu,
Yeye hana shida na somalia ila ameiona fursa.
Somalia imejaa ugaidi na maeneo mengi yanaongozwa na Al shabab ila ukienda Somaliland hamna al shabab ni amani kama vile upo tz.
Hivo Israel kwa kuitambua Somaliland kama nchi itaipa faida ya kutumia ardhi ya nchi hiyo kupambana na Houthi wa yemeni

Nakushangaa mpaka leo huelewi kuwa Al Shabaab ni kikundi kilichoanzishwa na Wamarekani kama ilivyo Somaliland, wagawe uwatawale.

Kama watu wanahukumiwa kuwa "Al Shabab" kwa Uislam wao basi Somaliland ni zaidi ya Al Shabab.
 
Nakushangaa mpaka leo huelewi kuwa Al Shabaab ni kikundi kilichoanzishwa na Wamarekani kama ilivyo Somaliland, wagawe uwatawale.

Kama watu wanahukumiwa kuwa "Al Shabab" kwa Uislam wao basi Somaliland ni zaidi ya Al Shabab.
We kabibi hizi si propaganda za kidini!!
Kwaiyo waanzishe wamarekani afu watumie Dini hiyo hiyo kuua??
Al shabab wanaposhambulia makanisa huwa n wamarekani wamewatuma.
Al shabab walipopigana na marekani ilikua ni maigizo!!?

Ni muda sasa wq kuachana na huu upuuzi
 
We kabibi hizi si propaganda za kidini!!
Kwaiyo waanzishe wamarekani afu watumie Dini hiyo hiyo kuua??
Al shabab wanaposhambulia makanisa huwa n wamarekani wamewatuma.
Al shabab walipopigana na marekani ilikua ni maigizo!!?

Ni muda sasa wq kuachana na huu upuuzi

Huijui USA na mambo yake.

Hivi vikundi vingi vya kigaidi unavyoviona ni mali ya USA kwa maslahi yake duniani.

Hivi unajua mwanzo wa Alqaeda na Talebani ni USA wakipambana kuisambaratisha USSR.
Alqaeda ilitumika kuisambaratisha Libya na kumtoa Ghadafi.

ISIL ilizuka baada ya Sadaam kuondoka pale Iraq na USA kukaa pale, ila huko nyuma haikuwepo, lengo kuu la kuwepo ISIL ni kutengeneza conflict ya Shiite Muslim vs Sunni Muslim na kuifanya Iraq isitawalike na the same ikaenda kufanyika Syria.

Nchi majirani na Israel zikiwa stable kisiasa na Kiuchumi ni kitisho kwa uwepo wa Taifa la Israeli, USA analijua hili maana ndio aliannex Taifa la Israeli na kuliweka hapo.
Bado natafuta kisa cha ugomvi wa Hitler na Wayahudi na kufikia kuwapa adhabu ya kuwamaliza woote.
 
Somalia inapata ugumu baada ya mambo kuzidi kwenda Kombo!

Wakati wako kwene vita ya maneno na Taifa lenye heshima kubwa Afrika kwa kutotawaliwa na wakoloni la Ethiopia, mtanange umegeuka nakua kilanga kikubwa dhidi ya Somalia hasa kwa wale wakereketwa wa “GREAT SOMALIA” baada ya Taifa dogo lenye nguvu kubwa duniani la Israel kutaka kuitambua rasmi Somaliland kua taifa huru.

KWANINI UAMUZI HUU.
Uamuzi huu unakuja baada ya vikundi vya kigaidi vya kiislam kuungana kuishambulia Israel kila kona.
Vikundi hivi ni HAMAS, HEZBOLLAH, HOUTHI

Hivi karibuni kikundi cha HOUTHI nchinin Yemeni kilitangaza kuanza kushirikiana na Alshabab wa somalia.
Taarifa hii inakua ni mbaya sana kwa israel kwa kua kitaongeza nguvu na kusambaa kwa vikundi hasimu kwa masrahi ya israel katika Pembe ya Afrika.

Aidha Taarifa hii kama HOUTHI na AL shabab wataungana basi itakua ni ndoto mbaya kutokea kwa nchi za Africa masharika za Ethiopia, Kenya, Tanzania na Uganda kwani Kimekua kikihusianisha na mashambulizi kadhaa ikiwa ni pamoja na kusababisha mgogoro mkubwa wa wakimbizi kujaa kenya na Ethiopia,Uganda.

THE GREAT SOMALIA IS DEAD AGAIN

View attachment 3048439
Iran nayo nchi wakapigane...wao wanataka kupigana vikundi vya panya roa na kamasi linawatoka
 
Nakushangaa mpaka leo huelewi kuwa Al Shabaab ni kikundi kilichoanzishwa na Wamarekani kama ilivyo Somaliland, wagawe uwatawale.

Kama watu wanahukumiwa kuwa "Al Shabab" kwa Uislam wao basi Somaliland ni zaidi ya Al Shabab.
Kuzeeka siyo dhambi, ni neema za mungu ila kuzeeka ukiwa huna akili kichwani ni mzigo kwako na kwa Taifa.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Israel US UK zikaweke Millitary Bases pale Somaliland ili Red Sea na Bahari ya Hindi isitekwe na Magaidi.

Na Makabila ya Yemen yenye Bifu na Magaidi wa Ayatolah (Houthi) yasaidiwe ili kuwaondoa Houthi Madarakani.
 
Somaliland Al Shabab walitimuliwa zamani sana na hawawezi kukubali kuwafuata huko waliko
 
Wamewadhibiti vilivyo Alshababu.
Thank you very much
Yaani Somaliland kuna amani hata bongo haiingii
Unauza hela barabarani marundo na hakuna wa kugusa
Kina mama wanauza dhahabu kama njugu tena chini
Al Shabab waliadhibiwa vikali kwa njaa zao na ukijifanya kuteka malori au kuuwa wanauwa nao
Kwanza wana familia wanakutaja lazima ukijiunga
 
Thank you very much
Yaani Somaliland kuna amani hata bongo haiingii
Unauza hela barabarani marundo na hakuna wa kugusa
Kina mama wanauza dhahabu kama njugu tena chini
Al Shabab waliadhibiwa vikali kwa njaa zao na ukijifanya kuteka malori au kuuwa wanauwa nao
Kwanza wana familia wanakutaja lazima ukijiunga
Nimeziona Video kule YouTube.
 
Israel US UK zikaweke Millitary Bases pale Somaliland ili Red Sea na Bahari ya Hindi isitekwe na Magaidi.

Na Makabila ya Yemen yenye Bifu na Magaidi wa Ayatolah (Houthi) yasaidiwe ili kuwaondoa Houthi Madarakani.
Issue ya Yemen ni mirungi imeharibu nchi yote si Houthi si Waarabu wengine. Wao ukiwapa mirungi umemaliza kazi 😂😂

Ila ukimkuta FaizaFoxy anavowasifia unaweza ukasema watu kumbe mateja... Yemen asiye kuwa teja ni mtoto Mchanga tu
 
Back
Top Bottom