Kwahiyo Wakishatafuna Mirungi wanaanza kurusha Ballistic Missiles?πIssue ya Yemen ni mirungi imeharibu nchi yote si Houthi si Waarabu wengine. Wao ukiwapa mirungi umemaliza kazi ππ
Ila ukimkuta FaizaFoxy anavowasifia unaweza ukasema watu kumbe mateja... Yemen asiye kuwa teja ni mtoto Mchanga tu
Wanaanza kuona wengine wote sisimizi, wakishatuka wanakuta wamepigwa kama mbwaKwahiyo Wakishatafuna Mirungi wanaanza kurusha Ballistic Missiles?π
huwezi kuzuia mtu kuwa gaidiTanzania hatutishiwi na Al shabab? Kuna ugaidi ngapi imetokea Tanzania kwadababu ya link na Alshabab.
Unakumbika magaidi wanaokamatwa kenya wrngi wao wanatoka Tanzania kwenda kujiunga somalia?
fatilia vizuri mambo acha kukaa kwene vijiwe vya kahawa.
We kabibi hizi si propaganda za kidini!!
Kwaiyo waanzishe wamarekani afu watumie Dini hiyo hiyo kuua??
Al shabab wanaposhambulia makanisa huwa n wamarekani wamewatuma.
Al shabab walipopigana na marekani ilikua ni maigizo!!?
Ni muda sasa wq kuachana na huu upuuzi
Nahisi huna uelewa wa kutosha na hauelewi dunia inavyokwenda, sema wewe, Al Shabab ilianzishwa na Al Qaeda au hapana?We kabibi hizi si propaganda za kidini!!
Kwaiyo waanzishe wamarekani afu watumie Dini hiyo hiyo kuua??
Al shabab wanaposhambulia makanisa huwa n wamarekani wamewatuma.
Al shabab walipopigana na marekani ilikua ni maigizo!!?
Ni muda sasa wq kuachana na huu upuuzi
Vita ya wenyewe kwa wenyewe Yemen iliisha zamani sana. Naona bado uoo nyuma sana.Wanaanza kuona wengine wote sisimizi, wakishatuka wanakuta wamepigwa kama mbwa
Hii ni report ya mwaka 2011
Sasa fikiria Leo Hali ikoje.
Tafuta Waarabu Koko wote wa humu ndani waulize why Houthi wanapigana na Wayemeni wengine hakuna jibu la maana watakwambia
Mirungi nilikuwaga najua ni kama Matembele kumbe ni kitu kibaya sanaVita ya wenyewe kwa wenyewe Yemen iliisha zamani sana. Naona bado uoo nyuma sana.
Hiyo ilikuwa ni vita ya kisiasa, iliyoanziushwa na Wamarekani wakisaidiwa na mashiga zao mazayuni wasaudi na UAE..
Leo hii Wayemeni wote bila kujali itikadi zao za kisiasa, wanasema kwanza mazayuni wanyukwe mpaka wasitishe kuuwa watoto na wasiojweza pale Ghaza.
Jana wamesema hakuna tena kuwekea mstari mwekundu, sasa ni mpaka wazayuni waikimbie ardhi ya Palestina.
Vita ya wenyewe kwa wenyewe Yemen iliisha zamani sana. Naona bado upo nyuma sana.Wanaanza kuona wengine wote sisimizi, wakishatuka wanakuta wamepigwa kama mbwa
Hii ni report ya mwaka 2011
Sasa fikiria Leo Hali ikoje.
Tafuta Waarabu Koko wote wa humu ndani waulize why Houthi wanapigana na Wayemeni wengine hakuna jibu la maana watakwambia
Umeshaila?Mirungi nilikuwaga najua ni kama Matembele kumbe ni kitu kibaya sana
Wanasema ukila Mirungi unakuwa karibu na Allah.Mirungi nilikuwaga najua ni kama Matembele kumbe ni kitu kibaya sana
Mbona waislam wanaunga mkono alshabaab?! Hasa waislam wenye siasa kaliNakushangaa mpaka leo huelewi kuwa Al Shabaab ni kikundi kilichoanzishwa na Wamarekani kama ilivyo Somaliland, wagawe uwatawale.
Kama watu wanahukumiwa kuwa "Al Shabab" kwa Uislam wao basi Somaliland ni zaidi ya Al Shabab.
Hakuna muisla wa siasa kali, kuamini hilo ni kuamini ujinga uliojazwa nao. Uislam ni mmoja tu.Mbona waislam wanaunga mkono alshabaab?! Hasa waislam wenye siasa kali
Msomali hatishiwi Vita.Somaliland ijiandae kuwa Uwanja wa Vita kama Yemen!
dunian kila taifa likifeli lawama ni USA , hv USA huyu angekuwa na huo uwezo angewacha China ifikie pale ilipo na ije ipoteze nguvu kuidhoofisha Somalia ?Nakushangaa mpaka leo huelewi kuwa Al Shabaab ni kikundi kilichoanzishwa na Wamarekani kama ilivyo Somaliland, wagawe uwatawale.
Kama watu wanahukumiwa kuwa "Al Shabab" kwa Uislam wao basi Somaliland ni zaidi ya Al Shabab.
Ushindani wa ibilisi na afiriti ni nani zaidi tu. yupi agtawapoteza wengi.dunian kila taifa likifeli lawama ni USA , hv USA huyu angekuwa na huo uwezo angewacha China ifikie pale ilipo na ije ipoteze nguvu kuidhoofisha Somalia ?
Israel ni taifa lililopoteza geopolitical influence tayari.Somalia inapata ugumu baada ya mambo kuzidi kwenda Kombo!
Wakati wako kwene vita ya maneno na Taifa lenye heshima kubwa Afrika kwa kutotawaliwa na wakoloni la Ethiopia, mtanange umegeuka nakua kilanga kikubwa dhidi ya Somalia hasa kwa wale wakereketwa wa βGREAT SOMALIAβ baada ya Taifa dogo lenye nguvu kubwa duniani la Israel kutaka kuitambua rasmi Somaliland kua taifa huru.
KWANINI UAMUZI HUU.
Uamuzi huu unakuja baada ya vikundi vya kigaidi vya kiislam kuungana kuishambulia Israel kila kona.
Vikundi hivi ni HAMAS, HEZBOLLAH, HOUTHI
Hivi karibuni kikundi cha HOUTHI nchinin Yemeni kilitangaza kuanza kushirikiana na Alshabab wa somalia.
Taarifa hii inakua ni mbaya sana kwa israel kwa kua kitaongeza nguvu na kusambaa kwa vikundi hasimu kwa masrahi ya israel katika Pembe ya Afrika.
Aidha Taarifa hii kama HOUTHI na AL shabab wataungana basi itakua ni ndoto mbaya kutokea kwa nchi za Africa masharika za Ethiopia, Kenya, Tanzania na Uganda kwani Kimekua kikihusianisha na mashambulizi kadhaa ikiwa ni pamoja na kusababisha mgogoro mkubwa wa wakimbizi kujaa kenya na Ethiopia,Uganda.
THE GREAT SOMALIA IS DEAD AGAIN
View attachment 3048439
Iko siku kwa ushetani wenu mtakuja sema Houthis walianzishwa na Marekani na siyo kikundi cha Kiislamu kinachoungwa mkono na Iran!Nakushangaa mpaka leo huelewi kuwa Al Shabaab ni kikundi kilichoanzishwa na Wamarekani kama ilivyo Somaliland, wagawe uwatawale.
Kama watu wanahukumiwa kuwa "Al Shabab" kwa Uislam wao basi Somaliland ni zaidi ya Al Shabab.
Unabisha nini wewe kijana!?Mirungi nilikuwaga najua ni kama Matembele kumbe ni kitu kibaya sana
Toka 1992 USA amekua akipambana kuiangusha China ila China is not Afrika ameshindwa.dunian kila taifa likifeli lawama ni USA , hv USA huyu angekuwa na huo uwezo angewacha China ifikie pale ilipo na ije ipoteze nguvu kuidhoofisha Somalia ?
Uzuri ni kuwa hayo hatuyasemi sisi wanasema wenyewe Wamarekani. Jionee:Iko siku kwa ushetani wenu mtakuja sema Houthis walianzishwa na Marekani na siyo kikundi cha Kiislamu kinachoungwa mkono na Iran!
Jibu hoja! Tulikoanzia ni Al shabab, wewe unatuletea mujahidina wa Afghanistan π¦π«Uzuri ni kuwa hayo hatuyasemi sisi wanasema wenyewe Wamarekani. Jionee:
View: https://youtu.be/r3pDCxzC_k0?si=QtZUyQ0QvicX93_c