asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,035
mhhhhhhh majanga osokoni kalipa kisasi mwambie bestito aachane nae kimoja wa nini huyo osokoni kutunza hajui na bado unamganda achilia mbali kamdhalilisha
Kuna anachopata kwa Osokoni ambacho hakukipata kwa broker na hadhani kama atakipata kwingine!!!
Kuna anachopata kwa Osokoni ambacho hakukipata kwa broker na hadhani kama atakipata kwingine!!!
hahahaha since nishakujua wewe ni type ya osokoni hunisumbui tena
ha ha ha ha bestiiiiiiii
na hata kipata kwa mwngne ng'ooo , usicheze na osokoni.
hahahaha na usokoni analijua hilo ndio maana anamfanyia hivyo
Osokoni is another!!!
Osokoni kiboko........khaaaa!!!!.....
ha ha ha......... usiombe kutiwa mikononi mwa osokoni besti.....
Haha haaaa!!
Siombei hilo best....
Stop insisting on this BS
Osokoni ameacha kunawaka moto aisee!!
Uoga muhimu best!ha ha ha ha
bestiii kumbe muoga.........
Uoga muhimu best!
Ukimuendekeza Osokoni unakuwa mtumwa hivi hivi unajiona!!!!