Baada ya hali kubadilika Biden amsuta Zelensky

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Raisi Biden wa Marekan amemlaumu raisi wa Ukraine kwa kuwa mkaidi na kutosikiliza ushauri wa wakubwa.

Anasema alikataa kusikiliza uoni wa kiintelijinsia ya Marekani kwamba Urusi ilikuwa iko karibu kuivamia nchi hiyo. Marekani pia baada vita kuanza iliwahi kumshauri kuwa akimbie nchi na akataa.

Kauli hiyo ya Biden imekuja huku wanajeshi wa Ukraine wakiwa wameukimbia na kuuangalia kwa mbali mji muhimu wa viwanda Sivioredenesk baada ya wanajeshi wa Urusi kuuchukua mji huo tangu majuzi.

Rais Zelensky kwa upande wake anazidi kuomba msaada wa silaha nzito ili aikomboe miji yote iliyotekwa na Urusi.
 
Zelensky ameingizwa cha kike na marekani 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ningekuwa Mimi ni mmoja WA wafanya maamuzi kati ya nchi zinazo msaidia silaha,ningetaka apimwe akili kabla ya kuendelea kufanya maamuzi ya kuendelea kumpelekea silaha🤔
 
Ningekuwa Mimi ni mmoja WA wafanya maamuzi kati ya nchi zinazo msaidia silaha,ningetaka apimwe akili kabla ya kuendelea kufanya maamuzi ya kuendelea kumpelekea silaha🤔
Beberu hatoi kitu Bora,
Anachekelea Putin anavyombomoa Ukraine, Kwa sababu anajua kazi ya REBUILDING OF UKRAINE, atapiga hela ndefu sana, anajua demand ya building materials cement, nondo, itapanda, atauza, usafirishaji gharama zitapanda, meli za mizigo zitaelekezwa Ukraine, huku duniani kuwe na uhaba, mafuta yazidi kupanda!

Beberu hafanyi biashara isiyo na faida hata siku 1.
Corona mafuta yalishuka to zero value! Alikuwa anatucheki Tu tunavyochekelea,
Sasa alichokipoteza chote anakirudisha!
 
Wakati huo Zeleboy amelala baada ya kugonga mvinyo huku porini vijana wake wakishushiwa vitu vizito kichwani🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…