Baada ya Hali ya Uchumi wa Uganda kuanza kuwa Tete, Rais Museveni awapigia Magoti WB Wabadilishe Uamzi wa kuzuia mikopo na misaada ya Bajeti

Na hakuna beberu aliyemlazimisha mtu kuuishi ushoga.Ambacho wanapinga ni hao mashoga wasinyanyaswe.
Kinachongaza ni rahisi waafrika kuua shoga lakini si kuua viongoz wezi wala rushwa, mafisadi, nenda china kiongozi mwizi, fisadi, mla rushwa anayongwa tu. By the way kuna nchi ya kiafrika ina kiongoz msagaji lakini hutosikia anapigwa vita na wananchi wa hiyo nchi wala kukemewa ndo uone waafrika walivyo wanafiki
 
Kwa akili na fikra zako, sio mda mrefu Utamuandika SSH kama unavyoandika kuhusu Marais wengine Afrika kuhusu Uchumi wao.

Uchumi wa Tanzania upo hatarini. 2024-2026.
 
Kwa akili na fikra zako, sio mda mrefu Utamuandika SSH kama unavyoandika kuhusu Marais wengine Afrika kuhusu Uchumi wao.

Uchumi wa Tanzania upo hatarini. 2024-2026.
Ni suala la muda tu Mungu atuweke hai anguko la kiuchumi kwa serikali ya samia li wazi kabisaaaa unajua unaweza ficha vitu vingine lakini si hali ya uchumi
 
The hypocrites of highest degrees.Huwa tunajionesha mfanano wetu na gorrila bila shuruti.
 
Ni suala la muda tu Mungu atuweke hai anguko la kiuchumi kwa serikali ya samia li wazi kabisaaaa unajua unaweza ficha vitu vingine lakini si hali ya uchumi
Hakuna viashiria vya anguko la uchumi Tanzania,nakuhakikishia Asilimia 100%

Kama uchumi haukuanguka.awamu ya Jiwe ambayo wawekezaji walikimbia sembuse Tanzania?

Na sababu ambayo ilimfanya Jiwe aka survive ni dhahabu ilipanda snaa bei,Watalii na uwepo wa Bandari.

Na hivi vyote Kwa Sasa viko vizuri na on top of that uwekezaji unamiminika kama mvua 🔥🔥
 
ChoiceVariable sawa itakapoteka nitakukumbusha🙏🙏
 
Huyu siku zake sio nyingi, kinachoendelea kumuweka madaraksni ni jeshi tu alilojaza ndugu na kabila lake na wana familia,
Ila West watakapomchoka, kitamkuta kilichompata Al Bashir rais wa Sudan(Khartoum).
 
Kibano kinaendelea

View: https://twitter.com/BBCAfrica/status/1719263446775091365?t=TWD0pyGYXa83cMp_DTQhdQ&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…