Kiukwel nimemisi Sana Uzi unaomuhusu zari ni vizuri uwe unatuletea Kama fan wake tofauti na happy utakuwa we sio real fan
Hii lawama lazma imshukie diamond tu hata kama yeye hausiki....😂😂😂😂Figisu za Domo hizo.[emoji3][emoji3]
Si unaona hata anavyomfanyia Kiba kule mombasa alimzimiaga Mic.
Domo ana mtandao mkubwa wa figisu
[emoji125][emoji125]
Kama kwel unampenda zari kiasi ambacho hata kuwachukia wanaume walioachana na zari kwanini uleti taarifa yoyote inayomuhusu zari au siku hizi habari Hana.U see am not a real fan
We chalii kumbe nawewe waga una negative views za kiduu hivi??Figisu za Domo hizo.[emoji3][emoji3]
Si unaona hata anavyomfanyia Kiba kule mombasa alimzimiaga Mic.
Domo ana mtandao mkubwa wa figisu
[emoji125][emoji125]
Hii video inahusu Nini?
Relax mkuu😀😀We chalii kumbe nawewe waga una negative views za kiduu hivi??
Kama kwel unampenda zari kiasi ambacho hata kuwachukia wanaume walioachana na zari kwanini uleti taarifa yoyote inayomuhusu zari au siku hizi habari Hana.
Mbona baba lao haujaondewa?Nafanya nitakavyo. Sijawahi mchukia ivan wala yule bondia etc
Hii video inahusu Nini?
Mbona unamchukia mondi sasaNafanya nitakavyo. Sijawahi mchukia ivan wala yule bondia etc
Naona ujamuelewa bwana troublemakerWe chalii kumbe nawewe waga una negative views za kiduu hivi??
si harmoze kaitoa ni magix enga mwenyewe kaitoa nimeskia akisema hivyo ndani ya citizen radio
Mbona unamchukia mondi sasa
Mbona baba lao haujaondewa?