yaani hawapo faster kama management ya chibu!Ila Management ya Harmo iko slow sana.
We ujawahi hata siku moja kusifu hata Jambo zuri moja alilofanya.Sijawahi kumchukia domo zaidi ya kusema ukweli
Ngoma ni mbaya mkuu[emoji23][emoji23][emoji1787]tunaisubiri kushoto kuliaa
We ujawahi hata siku moja kusifu hata Jambo zuri moja alilofanya.
Ngoma sio Kali kiivyo ila Ina mashairi mazuri beat imemuangusha tofauti na uno ambayo beat yake tu ni hit song ila ametumia technique nzuri ya kumtaja Simba Ili mashabiki wake wasapoti kazi yake na kweli hapa atawaweza watu wengi.Kushito kulia-Harmonize bila shaka hii haina makandokando.
Kushito kulia-Harmonize bila shaka hii haina makandokando.
Kweli kabisa.Swagga za Diamond Platnumzz.
Nishaandaa Nguo nangoja Povu.