Baada ya Hayati Magufuli kuvunja Katiba, sasa ni zamu ya Job Ndugai

Baada ya Hayati Magufuli kuvunja Katiba, sasa ni zamu ya Job Ndugai

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Wadau baada ya suala la CAG kuthibitika kuwa Rais Magufuli alivunja katiba ya nchi.

Sasa nataka na hili la Halima Mdee na genge lake nilifikishe mahakamani ili mahakama itamke kuwa Spika Ndugai alivunja katiba na anionyeshe kifungu cha Katiba kilichompa nguvu ya kuwaapisha kina Halima Mdee na genge lake huku alijua kabisa kuwa Katiba inatamka wazi kuwa mbunge lazima atokane na chama cha siasa.

Chadema ilikwisha wafukuza lakini yeye kwa kinga walizojipa na Rais Magufuli waliamua kuvunja katiba kwa makusudi na kuwaapisha.

1652427482224.jpg
 
Si rahisi kwa haya MATAPELI. Namshukuru Mungu anayewaua yote! Si muda atayamaliza
 
Wadau baada ya suala la CAG kuthibitika kuwa Rais Magufuli alivunja katiba ya nchi.

Sasa nataka na hili la halima Mdee na genge lake nilifikishe mahakamani ili mahakama itamke kuwa Spika Ndugai alivunja katiba na anionyeshe kifungu cha Katiba kilichompa nguvu ya kuwaapisha kina Halima Mdee na genge lake huku alijua kabisa kuwa Katiba inatamka wazi kuwa mbunge lazima atokane na chama cha siasa.

Chadema ilikwisha wafukuza lakini yeye kwa kinga walizojipa na Rais Magufuli waliamua kuvunja katiba kwa makusudi na kuwaapisha.

View attachment 2437088
Pigo lingine kwa job.
 
Back
Top Bottom