Baada ya Ihefu FC 'Kutubikiri' jana sasa tumebadilika na Kujifariji kwa Kuifurahia 'Unbeaten Record' ya Mechi 49

Baada ya Ihefu FC 'Kutubikiri' jana sasa tumebadilika na Kujifariji kwa Kuifurahia 'Unbeaten Record' ya Mechi 49

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa Mashabiki wenu Oya Oya (Akili Kupotea) hapa najua Watawaungeni mkono ila kwa Sisi Wanamichezo wa kweli tunajua kuwa mmeumia mno na Kubikiriwa na Walima Mpunga huko Mbarali Mkoani Mbeya jana.

Sasa kama baada ya Kichapo Bikiriwa chenu cha Jana Lengo lenu lilikuwa ni Kufurahia Unbeaten Record ya Mechi 49 bila Kufungwa kama mliyoiweka sasa katika Kurasa zenu za Mitandao ilikuwaje mkatengeneza Jezi zenu Maalum za Unbeaten Record ya Mechi 50 bila Kufungwa (ambazo Usiku wa leo kwa Aibu Kubwa) mmezichoma Moto huku zingine mkizigawa Kiuhuruma kwa wana Yanga SC wa Mbarali na Mbeya Mjini ili Wakazipigie Deki Majumbani mwao?

Kateni Rufaa Kufungwa na Ihefu FC!!!
 
Unbeaten ya marefa imekandwq na watoto wanaolima mpunga mbarali mbeya
 
Kinachouma zaidi ni kubikiriwa na shamba boi, yaani umeitunza bk yako kwa miaka 49 afu unakuja kuvunjwa na mlima mpunga! Bora ata angewapa wa dontown apa apa.
 
Back
Top Bottom