Baada ya jana Nyamibwe kuangukia mikononi mwa M23, leo tayari wapo Ihusi

Baada ya jana Nyamibwe kuangukia mikononi mwa M23, leo tayari wapo Ihusi

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576

View: https://x.com/StanysBujakera/status/1887306274750030073

Akiongea Vital Kamerhe, anasema: muda umeshatutupa; kuna wabunge hapa hata hawajui ilipo MINOVA, Nyabibwe iko wapi na maeneo mengine. Mkiambiwa, mnatakiwa muelewe hali halisi ya kinachoendelea. Nadhani wenzetu wa Kivu Kusini na Kasikazini, wanaweza kuwahakikishia kuwa Nyabibwe, tayari tushaipoteza usiku huu(Kuamkia leo). Sasa hivi, wapo Ihusi. Ihusi ni karibu na Katana. Katana ni mji wa Bukavu. Kwa sasa, ni wazi kwamba vita hivi vipo nje ya uwezo wetu. Raisi,ameomba tutoe maoni yetu
 

View: https://x.com/StanysBujakera/status/1887306274750030073

Akiongea Vital Kamerhe, anasema: muda umeshatutupa; kuna wabunge hapa hata hawajui ilipo MINOVA, Nyabibwe iko wapi na maeneo mengine. Mkiambiwa, mnatakiwa muelewe hali halisi ya kinachoendelea. Nadhani wenzetu wa Kivu Kusini na Kasikazini, wanaweza kuwahakikishia kuwa Nyabibwe, tayari tushaipoteza usiku huu(Kuamkia leo). Sasa hivi, wapo Ihusi. Ihusi ni karibu na Katana. Katana ni mji wa Bukavu. Kwa sasa, ni wazi kwamba vita hivi vipo nje ya uwezo wetu. Raisi,ameomba tutoe maoni yetu

Wakishika Bukavu watangaze Nchi au wampindue Felix.

Malawi imeondoa Wanajeshi wake huko ,Tanzania na South Africa ndio wamebakia kiherehere.

Japo taarifa zinaswma Ramaphosa anafanya biashara ya Madini na mwenzie Mosepe na wanatumia Jeshi.
 
Wakishika Bukavu watangaze Nchi au wampindue Felix.

Malawi imeondoa Wanajeshi wake huko ,Tanzania na South Africa ndio wamebakia kiherehere.

Japo taarifa zinaswma Ramaphosa anafanya biashara ya Madini na mwenzie Mosepe na wanatumia Jeshi

Ndio maana unaona wana ugomvi binafsi na PK, kipo ambacho PK anafahamu kuhusu jeshi la SA na DRC mashariki.
 
Wakongo uwaambie kupaka mikorogo na kukatika miuno, kupigana vita aahh.!!
 
Jeshi la Kongo poleni sana. Mmeonesha ukosefu wa nidhamu, ukosefu wa morali na zaidi wenye uzalendo wa kweli humo jeshini mwenu wamepungua. Usaliti umetamalaki. Vijana wanakimbia na kuacha silaha nzito Kwa M23. Too sad.Jumuia ya kimataifa hasa SADC msipochukua hatua Congo inaenda kuangamia na kusambaratika. Si ajabu siku kadhaa zijazo Congo ikagawanywa na kuwa nchi kadhaa. Hili linatisha zaidi .Sitaki litokee but Kwa hali ilivyo tuzidi kusubiri muda na utasema.
 
Jeshi la Kongo poleni sana. Mmeonesha ukosefu wa nidhamu, ukosefu wa morali na zaidi wenye uzalendo wa kweli humo jeshini mwenu wamepungua. Usaliti umetamalaki. Vijana wanakimbia na kuacha silaha nzito Kwa M23. Too sad.Jumuia ya kimataifa hasa SADC msipochukua hatua Congo inaenda kuangamia na kusambaratika. Si ajabu siku kadhaa zijazo Congo ikagawanywa na kuwa nchi kadhaa. Hili linatisha zaidi .Sitaki litokee but Kwa hali ilivyo tuzidi kusubiri muda na utasema.

Hatuwezi kuwa wacongolizi kuliko wakongolizi wenyewe.
 

View: https://x.com/StanysBujakera/status/1887306274750030073

Akiongea Vital Kamerhe, anasema: muda umeshatutupa; kuna wabunge hapa hata hawajui ilipo MINOVA, Nyabibwe iko wapi na maeneo mengine. Mkiambiwa, mnatakiwa muelewe hali halisi ya kinachoendelea. Nadhani wenzetu wa Kivu Kusini na Kasikazini, wanaweza kuwahakikishia kuwa Nyabibwe, tayari tushaipoteza usiku huu(Kuamkia leo). Sasa hivi, wapo Ihusi. Ihusi ni karibu na Katana. Katana ni mji wa Bukavu. Kwa sasa, ni wazi kwamba vita hivi vipo nje ya uwezo wetu. Raisi,ameomba tutoe maoni yetu

Ukisafiri nao mapambio kwa Yesu utasema wagalatia ndo wao..kumbe ubinafsi tuu na chuki zimewajaa
 
Back
Top Bottom