Raila Odinga akabwagwa,,,na huyu Uhuru,,ambaye Raila alitumia wakati wake
wote kumtusi,,hata baada ya uchaguzi,,,Raila akaendelea na zile siasa zake
duni,,,kumfuata Uhuru popote alipokwenda,,lakini,,punde si punde,,aka
vumbua kwamba Uhuru si yule aliokua akimfikiria. (mpira mpira,,goaaaal)
Kwanza,,katiba hii haitambui Ofisi ya PM,,,baada ya kumtusi Uhuru,,bado Uhuru
anahuruma ya kumpa huyu Odinga walinzi 12 lakini ameonywa asijaribu
kuvunja sheria za Kenya.Hakuna popote katiba inamtaja Raila na kwamba
yeye yuko,,above the laws of this land.
Asitatize wasafiri na waendeshaji magari barabarani kwa kutumia
wrong sides,,,
Kama Raila atajiheshimu,,,ataheshimiwa lakini akijifanya kichwa
ngumu,,,basi hivi karibuni atafungua macho vilivyo na kuona
na kufahamu kwamba,,,,Uhuru si Kibaki,,aliyezoea kumchezea,,,
Huyu ni,,,ditital Uhuru,,,33,000 volts,,,danger,,hatari,,mjamaa
atapigwa,,,,,yaani,,,shock ya Njumbirii,,washikanishwe na walinzi,,
he he he,,,,
Huyu ni mtoto wa Jomo,,,Jomo kiboko cha Oginga Odinga na,,,,,
wembe,,,,ni ule ule,,,,hatucheki na watu.:smile-big:
Eti serikali haitamudu miaka mitano,,,we we we,,,hayo ni yako
na serikali ya njumbirii iko,,,ngangari,,,imemkubalia yeyote
kuota ndoto za aina yeyote.
Lakini,,,mimi Jammu mwana wa Afrika,,,naapa ya kwamba,,,
Njumbirii itamaliza miaka yote kumi na kuendelea hadi 2050.
Rais Uhuru Kenyatta,,baada ya miaka kumi,,,dunia itamkabidhi
na kumtunuka mashahada ya kila aina,,,kwakua rais bora,,,
duniani,,,,hiyo si ndoto wala maoni,,,,hayo nikutoka kwa
Jamuu mwafrika,,,,,,,i have never gone wrong,,,wait and
see.
Raila Odinga,,,,,mwisho wake ulikua 2013 na 2018,,,,he he
atazikwa kirasmi,,,kisiasa.
Na kama watu wako na dhana ya Kenya kwenda ile style ya
Egypt,,,,,he he he he,,,,,mumepotea saaaaaaana na poleni
sana,,,madungu na dada,,zetu,,,
Hiii ni Kii-nyaa na si Misri,,,mtakarangwa na mafuta yenu.
Tuko mbele,,,mbaya mbaya,,,,uzuri ni kwamba,,hawa watu
hua wanaonekana,,,kama,,,, glass,,yaani through na ndivyo
walivyo bwagwa na waka achwa wakijiuliza,,,
Eti nini imefanyika🙂
Sasa wanaota ndoto za kila aina,,,mara,,Uhuru watatengana
kisiasa na Ruto,,mara,,serikali itaangushwa na migomo,,mara,,,
whaa aaaaaaaaaat?????????
Sweet Dreams,,,,comrades.:wave: