Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
Huyo Doto James, Mama Samia hapaswi kumchekea hata kidogo...................Wale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.
Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
mimi sina neno maana sipungukiwi wala siongezewi chochote kwa lolote, lolote liwalo nitaendelea kuishi makuluwote watenguliwe nyadhifa zao
Ataachwa sababu ya heshima ya mwendazakeWale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.
Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
Wale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.
Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
Next is Biswalo Mganga na Jaji Feleshi. Hawa watu wameumiza sana watu nchi hii. Mama Samia afanye yake tu mama yetuWale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.
Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
Kama ni fisadi lazima uende shimoniWale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.
Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
Hamna lolote utaona tu huyo doto atapewa uDED ama UDCWale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.
Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
kutoka hazina mpaka udc? mmhHamna lolote utaona tu huyo doto atapewa uDED ama UDC
Huyo Doto James, Mama Samia hapaswi kumchekea hata kidogo...................
Anapaswa kumtumbua Mara moja huyo mpwa wa Hayati Magufuli, ambaye utendaji wake alikuwa akimtii Hayati Magufuli, badala ya kuwatumikia Umma wa watanzania