Baada ya Kangi Lugola, nani kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani?

Hiyo wizara inahitaji sana mtu mkomavu na anayeweza kuwa na upendo wa mzazi kwa wanawe; kati ya Mh George Mkuchika au Mh William Lukuvi mmojawapo watafaa sana; hata yule Waziri wa Sheria na Katiba atapamudu sana hapo wizarani. Akiwekwa mtu mwenye UKADA uliopitiliza sana anaweza chukulia majeshi yetu kama vikundi vya kulinda chama.
 
Imebaki miezi michache sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba chawene
Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…