Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hivi hata hiyo bilioni 700 tuna uhakika nayo?Mimi napingana na wewe.wasinyang'anywe maana walifanya kazi kubwa hadi tukazipata hizo billion 700.profesa kabudi ameamua asiseme ukweli kasababu anajua bosi wa sasa hana ubavu wa kuwashughullikia acacia,hivyo ameamua kusema kinachomfurahisha malkia.Kama mwamba angekuwepo hizo pesa zetu za noa tungezipata hata kama zingepungua lakini lazima tungezipata
Kwa kifupi, wote, kuanzia Kabudi, Mruma na Ososo wanyang'anywe vyeti warudi wakalime. wamelifedhehesha taifa. naanza kumwelewa Ndugai, alisema isiangaliwe miaka kazini wala vyeti vingi, bali uwezo kichwani.Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi, wasomi hawa wawili walitunukiwa vyeti na aliekuwa Rais wa Nchi hii Marehemu Magufuli.
Kama niko sahihi kwanini wasomi hawa wasinyang'anywe vyeti walivyopewa na Magufuli baada ya Kabudi kudai madai yale ya kodi ya zaidi ya trilioni
30( kwa mujibu wa kamati ya ya Prof. Mruma) hayakuwa sahihi?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi, wasomi hawa wawili walitunukiwa vyeti na aliekuwa Rais wa Nchi hii Marehemu Magufuli.
Kama niko sahihi kwanini wasomi hawa wasinyang'anywe vyeti walivyopewa na Magufuli baada ya Kabudi kudai madai yale ya kodi ya zaidi ya trilioni
30( kwa mujibu wa kamati ya ya Prof. Mruma) hayakuwa sahihi?