Baada ya Kifo cha Fidel castro, Raul ataendelea na msimamo wa kulinda ujamaa cuba?

Baada ya Kifo cha Fidel castro, Raul ataendelea na msimamo wa kulinda ujamaa cuba?

streat Anthem

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
395
Reaction score
475
Nimekaa nukajiuliza hivi baada ya kifo cha Field Marshal Fidel Castro kufariki, rais aliyopo madarakani Raul castro atasimamia msimamo wa kulinda ujamaa ulio zao la mapinduzi yaliyoongozwa na Fidel na Che Guevara, Ama ndo itakua turning point ya Mabepari (USA) kupenetrate Cuba na kuirudisha enzi za Batista?...
 
Cuba walishabadili misimamo toka pale alipozuru Barack Obama.
 
Back
Top Bottom