Huyo bondi atakua ni mambo safi kipindi hichi.Duu kuna wanaume wanajua kujilipua haswa.Yaani huyu Dada hawezi tulia ajitegemee afanye kazi zake bila ya kuwa na mwanaume?maana ana uhusiano wa haraka haraka.Na ile mimba jee??
umemsahau Solo ThangKwahiyo tayari K yake imechunguliwa na wanaume watatu hadi sasa! naamanisha marehemu, mbunge na huyo aliye naye. Ifike mahali aseme hawa wametosha kuniona sehemu zangu za siri asione tena mwingine!
Kwa hiyo ajichue? [emoji12]Mh, wastara alikuwa mwanamke wa kuheshimika sana zamani alipokuwa mke wa sajuki sijui kapatwa na nini mapaka anaamua kujiachia namna hii kuchezewa na huyu bond, kama ndoa ilikufa basi angetulia na bond kama anampenda afunge nae ndoa jamani, mama wa watoto wakubwa tu kwa nini usitunze heshima ya wanao kama ya kwako si kitu?Ajiangalie bana sio vizuri.
Watatuuu????kabla ya sajuki alishawahi kuolewa na kuzaaKwahiyo tayari K yake imechunguliwa na wanaume watatu hadi sasa! naamanisha marehemu, mbunge na huyo aliye naye. Ifike mahali aseme hawa wametosha kuniona sehemu zangu za siri asione tena mwingine!
Mimi nimerudiana na x wangu ili tulee mwanetu[emoji15] [emoji15] [emoji15]Mnamzungumzia kwasababu yeye ni maarufu; huku kitaa msichana anaachika, anachukua vyake anaamia nyumba ya tatu kwa mshikaji mwingine.
Na wasiofahamika!!Kwahiyo tayari K yake imechunguliwa na wanaume watatu hadi sasa! naamanisha marehemu, mbunge na huyo aliye naye. Ifike mahali aseme hawa wametosha kuniona sehemu zangu za siri asione tena mwingine!