Baada ya kuachana na mbunge wa Donge,Wastara arudiana na mpenzi wake wa zamani

Huyo bondi atakua ni mambo safi kipindi hichi.Duu kuna wanaume wanajua kujilipua haswa.Yaani huyu Dada hawezi tulia ajitegemee afanye kazi zake bila ya kuwa na mwanaume?maana ana uhusiano wa haraka haraka.Na ile mimba jee??

HAWA NI WALE AMBAO BILA DUDU KUWAPENYA HAWATULII
HAWA NI WALE AMBAO LAZMA WAKEKETWE
HAWA NI WALE AMBAO GENYE ZINAWEZA KUWAUA😳😳😳😳😳😳
 
wastara nae kama unga wa ngano

haeleweki hata¼ kijana wa watu alikua ana mpenda sijui alienda kuhangaika nini..
 
Kwa hiyo ajichue? [emoji12]
 
Kwahiyo tayari K yake imechunguliwa na wanaume watatu hadi sasa! naamanisha marehemu, mbunge na huyo aliye naye. Ifike mahali aseme hawa wametosha kuniona sehemu zangu za siri asione tena mwingine!
Watatuuu????kabla ya sajuki alishawahi kuolewa na kuzaa
 
Mnamzungumzia kwasababu yeye ni maarufu; huku kitaa msichana anaachika, anachukua vyake anaamia nyumba ya tatu kwa mshikaji mwingine.
Mimi nimerudiana na x wangu ili tulee mwanetu[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Kwahiyo tayari K yake imechunguliwa na wanaume watatu hadi sasa! naamanisha marehemu, mbunge na huyo aliye naye. Ifike mahali aseme hawa wametosha kuniona sehemu zangu za siri asione tena mwingine!
Na wasiofahamika!!
 
Ametimiliza ule usemi usemao ni

"Ni rahisi sana kurejeana na mpenzi wako wa zamani kuliko kuabzisha Penzi jipya"


Kila Penzi jipya analoanzisha halidumu.
 
Kumbe aliachana na mbunge [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hiyo ilinipita aisee
 
Huyu mwanamke huwa hawezi kuwa single,nadhani huwa ana mdudu anamuwasha huko ikulu kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…