Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

Mkuu hivi majichumvi mradi wako unaufanyia wapi maana nimezunguka sana maeneo haya na mpaka mda huu nipo huku ila bado sijui upo eneo gani? Majichumvi kuna mfugaji mmoja tu mmama/mdada ambae anafuga nguruwe..
Hebu nielekeze boss nitembelee eneo lako mimi nipo karibu na kiwanda cha nyama kabisa..
 
Usijali mkuu. Nitakupm ili tuwasiliame. Tena kwa yeyote atayetaka mitiki nitamuunganishia miche Kwa sh 300 Kwa mche. Kipindi kipindi Cha kupanda mitiki ni kipindi Cha mvua.
Aisee mkuu ni safi sana, nahitaji kuunganishwa ili nijipatie mitiki, na kwa hekari moja miche mingapi yapaswa kupandwa.
 
Hongera kwa maamuzi uliyochukua naona baada ya muda mfupi itakua mbali mno
 
Safi jumamosi ijayo nawakaribisha mje kuona project.
Safi sana mkuu, Hiyo fursa ya kukutembelea tunaikosa tulio mbali Mungu akijaalia uzima na mimi nikiwa karibu nitakutafuta nije kukutembelea mkuu, Mungu azidi kukubariki na kukushushia baraka ufikie malengo yako kaka.
 
Hongera sana kwa kuwa mjasiriamali.

Naomba kujua kisima ulichimba kwa bei gani na ni vitu gani vya kuzingatia ?

Asante.
 
Tuwasiliane
 
Wazo zuri mkuu,Mungu akusimamie utimize ndoto yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…