Baada ya kuapishwa kikwete ataelekea marekani kupumzika mwezi mmoja

Baada ya kuapishwa kikwete ataelekea marekani kupumzika mwezi mmoja

Gosbertgoodluck

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
2,855
Reaction score
402
Daktari wa kikwete amemshauri baada ya vurugu za uchaguzi anahitaji mapumziko kama mwezi mmoja hivi ili kupata nguvu ya kuwatumikia watu wake waliomsaidia kuchakachua matokeo na kuwezesha ushindi wa sunami. Daktari amemshauri aondoke mara baada ya kuunda baraza la mawaziri. Yeye amekubali kwa mantiki kwamba atatumia fursa kuomba vyandarua vingine na msaada wa kununua bajaji.
 
a nice joke is that which is very close to the truth, yaani hapa sijui unatania au unasema ukweli b'se jamaa ni kweli anaweza kufanya hivyo
 
ya kweli hayo si unajua tena . kuchakachua pia ilikuwa kazi ngumu na mapumziko ni ya muhimu mwache akatuongezee umaskini na mwamko wa kuipiga chini msimu ujao ila itabidi tukodi mfumo mzima wa kusimamia uchaguzi kwakuwa wenyewe tumehakikishiwa hatuwezi kujisimamia wenyewe kwa haki na upendo .
 
Daktari wa kikwete amemshauri baada ya vurugu za uchaguzi anahitaji mapumziko kama mwezi mmoja hivi ili kupata nguvu ya kuwatumikia watu wake waliomsaidia kuchakachua matokeo na kuwezesha ushindi wa sunami. Daktari amemshauri aondoke mara baada ya kuunda baraza la mawaziri. Yeye amekubali kwa mantiki kwamba atatumia fursa kuomba vyandarua vingine na msaada wa kununua bajaji.

Mkuu nilikuwa najiuliza swali kama hilo. Hapa JF kuna wengi wanasubiri nini itakuwa excuse ya ziara this time. This time he has nothing to worry, anaweza kufanya kila analotaka na ingekuwa tuweke thread ya ahadi za JK tuone utekelezaji wake na tuone atatekeleza ahadi ngapi.
 
Back
Top Bottom