Kabaridi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 2,022
- 534
Vice president wa kenya alifanya hesabu zake vibaya kwa kuihama serikali teule ya jubilee na kuungana na cord. Sio kalonzo pekee ni wengi pia kwenye miungano mengine ambao wamelambishwa sakafu. Kwa kuungana na CORD alifikili kuwa wamenyakua ushindi kwa raundi ya kwanza.
Akiwa bado kwenye muungano na uhuru na ruto alibuni muungano wa KKK ambao ilikemewa vikali na baada ya hapo kukihama KKK na kuanza kuingilia mrengo wa jubilee kwa tuhuma za kikabila.
...Tunaona kama mdau alivosema siku moja wanasiasa kenya hueneza kampeini ambazo hazina mshiko
...lakini hivi sasa, kuna katiba npya na vyeo vipya kama gavana, seneta, mwakilishaji wa wanawake, na hizi sio nafasi za kisiasa, bali ni vyeo vya kutumikia wananchi...
..Ina maana kama taifa la kenya tuna matumaini ya kupiga hatua kimaendeleo, kwa sheria mpya ya ugatuzi...
....Siasa mbovu za familia chache nchini kushikilia nyadhifa miaka nenda rudi imefikia kikomo.
Akiwa bado kwenye muungano na uhuru na ruto alibuni muungano wa KKK ambao ilikemewa vikali na baada ya hapo kukihama KKK na kuanza kuingilia mrengo wa jubilee kwa tuhuma za kikabila.
...Tunaona kama mdau alivosema siku moja wanasiasa kenya hueneza kampeini ambazo hazina mshiko
...lakini hivi sasa, kuna katiba npya na vyeo vipya kama gavana, seneta, mwakilishaji wa wanawake, na hizi sio nafasi za kisiasa, bali ni vyeo vya kutumikia wananchi...
..Ina maana kama taifa la kenya tuna matumaini ya kupiga hatua kimaendeleo, kwa sheria mpya ya ugatuzi...
....Siasa mbovu za familia chache nchini kushikilia nyadhifa miaka nenda rudi imefikia kikomo.