Baada ya kudaiwa fidia ya bilioni 10, Msanii maarufu Baba Levo awaangukia Yanga kumsamehe Ahmed Ally

Baada ya kudaiwa fidia ya bilioni 10, Msanii maarufu Baba Levo awaangukia Yanga kumsamehe Ahmed Ally

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Baada ya sakata la msemaji ya club ya Msimbazi, Ahmed Ally kutoa kauli zenye lengo ovu la kuichafua image na taasisi nzima ya Yanga, Msanii maarufu na mtangazaji, Baba Levo amewasihi viongozi wa Yanga kukaa na kumaliza tofauti yao na kumsamehe msemaji huyo, kwani bado ni kijana anayejifunza na anayetegemewa na familia yake.

Akiongea kwa kusisitiza kwamba kiasi hicho cha faini ni kikubwa mno, Hata Ahmed Ally auze figo zake zote, hawezi kupata kiasi hicho cha fedha.
 
Nilikiona hiki juzi watu wakatukana, utani wa mpira na pilato wapi na wapi.Haya sasa ktk zile tatu,ukitoa Yanga atabakiwa na saba bil.

Naninavyojua walio anza ndio wataomba hili swala liishe na Yanga atataka wapost kwenye mitandao kama walivyo ipost hiyo notes.
 
Nilikiona hiki juzi watu wakatukana, utani wa mpira na pilato wapi na wapi.Haya sasa ktk zile tatu,ukitoa Yanga atabakiwa na saba bil.

Naninavyojua walio anza ndio wataomba hili swala liishe na Yanga atataka wapost kwenye mitandao kama walivyo ipost hiyo notes.
Mbona mnahangaika nendeni mahakamani, si tunataka mfungue kesi. Hivi inshu ya kagoma imeishia wapi? Nyinyi si mlisema kagoma kadouble sign na mtashughulikia? Kiko wapi? Yanga kwenye kesi weupe ndio maana kila kesi mnashindwa.
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
Mbona mnahangaika nendeni mahakamani, si tunataka mfungue kesi. Hivi inshu ya kagoma imeishia wapi? Nyinyi si mlisema kagoma kadouble sign na mtashughulikia? Kiko wapi? Yanga kwenye kesi weupe ndio maana kila kesi mnashindwa.
Nihangaike nini? Kwani issue ya Lawi na iliishia wapi? Okay tutawaona safari umahili wenu kwenye hizi bil 10,kwani huyo msemaji wenu atasimamuwa na mawakili wenu.
 
Kwan akiuza figo zote mbili anapata kiasi cha shilingi ngapi?
 
Kwan akiuza figo zote mbili anapata kiasi cha shilingi ngapi?
Haifiki hata 500 milioni, maana nasikia anatumia vilevi vikali kama wenzake kina ahoua kwa hiyo figo zimeshuka thamani
 
Back
Top Bottom