Baada ya kufa sitaki niwe kwenye species ya waafrika, sitaki nakaataa milele

Baada ya kufa sitaki niwe kwenye species ya waafrika, sitaki nakaataa milele

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!
Tokea nije katika sayari hii ya Dunia sijawahi kufurahishwa wala kupenda kuzaliwa katika jamii hii nyeusi ya kiafrika.Ni jamii ninayoichukia sana na angali nipo miongoni mwao.

CHuki niliyozaliwa nayo dhidi ya jamii ya watu weusi imekuja kupaliliwa sana na mambo yafuatayo.

Kwanza waafrika kiasili ni watu wasiopenda mafanikio ya watu wengine kabisa..mfano mtoto mwenye nyoto nzuri akizaliwa afrika hupigwa vita na kuharibiwa badala kuwezeshwa ili afike mbali zaidi..

Waafrika wengi wanaroho mbaya na niwachawi kama rangi zao zilivyo...hawa watu watakurogo ili mradi waone umeharibikiwa.

Nijamii masikini ambayo ata wakisaidiwa umaskini unaendele kuwang'ang'ania.

Nakataa kuwa kwenye species hii kwasababu sijawahi chagua na sijapewa haki ya kuchagua ni zaliwe wap na wap..

Ni species ambayo wanaongozwa na viongozi wenye IQ ndogo,na weny IQ kubwa wamelogwa..hapa ndio unaanza kuona ubaya na laana ya hii species.

Wenye pesa na mali Afrika wamepata kwa njia za kichawi na ushirikina..kuuwa ndugu zao,wizi,ujambazi.n.k

Ni jamii ambayo kizuri kinaonekana kibaya na kibaya kinaonekana kizuri..ndio maana species zingine zinaona kama Afrika ni kuzimu..
 
Unaamini wazungu hawarogani Wala sio wachawi.?
Una amini ktk ngozi na rangi kama ishara ya laana.?
Una amini ni matajiri wa Afrika pekee ndio wanapata utajiri kichawi ?
Kuwa kiongozi ktk eneo lako Kisha tengeneza nafasi ambayo jamii yako itaishi humo kwa kuunganishwa na kile mnakitaka kiwe.
 
Siyo tatizo basi nakuombea ukizaliwa mara ya pili uwe mbwa jike wa kihindi huko kalkta
Namuomba Mungu huyu huyu niwe kiumbe mwanadamu mwenye rangi ya blue mzuri sana na mwenye uwezo mkubwa mno kuliko shetani,na nisiwe na mawaa na hila wala uchawi na ushetani na na niwe mwenye kumpendeza Mungu(Yehova).
 
Ni kweli Afrika kuna changamoto nyingi. Nakubaliana sana na zote ulizoainisha hapo juu. Ni kweli watu wenye akili na nia njema hapa Africa wanaishia kuwindwa kama swala na kumalizwa. Kwa kifupi tu ni kwamba shetani ameshikilia watu wengi kwasababu ya historia yao na ujinga mwingi na waafrika wengi hawako huru na wanamtumikia shetani sana. Kwasasa hamia nchi za Ulaya au Marekani utaweza kutimiza ndoto zako kirahisi zaidi.
 
Ujinga ndio unao kusumbua kijana , kila nchi ukienda maskini ,wavivu na roho katili wapo tu ,

Shida inayotukumba ni gorvanance systems zetu ,democracy afrika imefeli .

Nenda china 3 decades wanakaribia kuwa super power ,unakuta chama ni kimoja kwa hyo Kuna longterm planning in many areas kwa hyo achieving targets ni easier .

Watu weusi wakisolve leadership tu ,hatufikiki .

Historically cheki Egypt ,Nubia etc ,civilisation ilianza na mtu mweusi , acha myopic thinking .
Am proud to be African always.
 
Unaweza kuthibitisha uchawi,wachawi na mtu alielogwa? Unaweza kututajia mtu mmoja maarufu tunaemfahamu ambae amelogwa na kuwa dhalili?
 
P
Ujinga ndio unao kusumbua kijana , kila nchi ukienda maskini ,wavivu na roho katili wapo tu ,
Shida inayotukumba ni gorvanance systems zetu ,democracy afrika imefeli .
Nenda china 3 decades wanakaribia kuwa super power ,unakuta chama ni kimoja kwa hyo Kuna longterm planning in many areas kwa hyo achieving targets ni easier .
Watu weusi wakisolve leadership tu ,hatufikiki .
Historically cheki Egypt ,Nubia etc ,civilisation ilianza na mtu mweusi , acha myopic thinking .
Am proud to be African always.
Proud yourself not me..I'm already make my decision is non of your business.hoja yako imekaa kiafricanism sana..hivyo sikushai ni asili yako.
 
Ujinga mwingine banah!! Kufa Sasa mbona bado unavuta pumzii ya kiafrika?.
 
Utazikwa hapo makaburi ya kinondoni, na jirani yako atakuwepo Teja au kibaka, baada ya siku chache, litachimbwa kaburi jingine na mifupa yako itawekwa pembeni na kuzikwa upya
 
Back
Top Bottom