Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]He,he,heh..
Mi sijui watu mnawazaga nini, umenifanya nicheke kwa sauti
Ila kama yamekutokea pole mkuu, siku ingine ufanye usafi geto kabla hujaingiza dem mwingine
Mambo MonicerMmmmh
Teh teh! Hv siyo wewe ulotoka kutoa neno la MUNGU humu ndani leo?Unamaliza kufanya mapenzi na demu ghetto kwako anakuomba chupi yake iliyoanguka upande wa pili wa kitanda.
Unaangalia unaona chupi mbili za rangi tofauti, na chupi yake huikumbuki.
[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3]
Hapo ndo utajua kwa nn mabas ya mwendo kas hayapiti tandale kwa mtogole
Mungu Ananafasi Yake Mapenzi Yana Nafasi YakeTeh teh! Hv siyo wewe ulotoka kutoa neno la MUNGU humu ndani leo?
mungu mkubwa umeenda church leoPouwah mzm we
asalaam aleikum[emoji40]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Unamaliza kufanya mapenzi na demu ghetto kwako anakuomba chupi yake iliyoanguka upande wa pili wa kitanda.
Unaangalia unaona chupi mbili za rangi tofauti, na chupi yake huikumbuki.
[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3]
Hapo ndo utajua kwa nn mabas ya mwendo kas hayapiti tandale kwa mtogole
Dogo posts zako zimejaa figisux2 mara kanisabi pasta kakunja minoti, mara me na ke nani anaongoza kutoa siri za ndani...Unamaliza kufanya mapenzi na demu ghetto kwako anakuomba chupi yake iliyoanguka upande wa pili wa kitanda.
Unaangalia unaona chupi mbili za rangi tofauti, na chupi yake huikumbuki.
[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3]
Hapo ndo utajua kwa nn mabas ya mwendo kas hayapiti tandale kwa mtogole
Unaanzaje Kumuuliza Ivyo sasahapo utamuuliza rang gan
Endelea kunifatilia utapata zawadiDogo posts zako zimejaa figisux2 mara kanisabi pasta kakunja minoti, mara me na ke nani anaongoza kutoa siri za ndani...