Baada ya kufanya mazoezi KMCC, Simba imeanza kufeli

Baada ya kufanya mazoezi KMCC, Simba imeanza kufeli

feyzal

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
7,683
Reaction score
15,128
Napata sana mashaka na hili jambo. Iko hivi siku zote inajulikana uwanja wa mazoezi wa Yanga ni Avic town huko ndo kuna kambi yao na mazoezi yao.

Lakini baada ya msimu kuanza na simba kua na speed kali ya kutia watu dozi kubwa katika uwanja huo,utopolo nao wakaenda kufanya mazoezi hapo jambo ambalo linanitia wasiwasi hasa kwa historia ya Utopolo katika mambo ya ulonzi.

Wanasimba hili tukalitizame,nawasilisha.
 
Napata sana mashaka na hili jambo. Iko hivi siku zote inajulikana uwanja wa mazoezi wa Yanga ni Avic town huko ndo kuna kambi yao na mazoezi yao.

Lakini baada ya msimu kuanza na simba kua na speed kali ya kutia watu dozi kubwa katika uwanja huo,utopolo nao wakaenda kufanya mazoezi hapo jambo ambalo linanitia wasiwasi hasa kwa historia ya Utopolo katika mambo ya ulonzi.

Wanasimba hili tukalitizame,nawasilisha.
Fukuzeni kocha! Huyo siyo mwalimu wa mpira labda kwaya!
 
Napata sana mashaka na hili jambo. Iko hivi siku zote inajulikana uwanja wa mazoezi wa Yanga ni Avic town huko ndo kuna kambi yao na mazoezi yao.

Lakini baada ya msimu kuanza na simba kua na speed kali ya kutia watu dozi kubwa katika uwanja huo,utopolo nao wakaenda kufanya mazoezi hapo jambo ambalo linanitia wasiwasi hasa kwa historia ya Utopolo katika mambo ya ulonzi.

Wanasimba hili tukalitizame,nawasilisha.
Simba SC ni mbovu
 
Napata sana mashaka na hili jambo. Iko hivi siku zote inajulikana uwanja wa mazoezi wa Yanga ni Avic town huko ndo kuna kambi yao na mazoezi yao.

Lakini baada ya msimu kuanza na simba kua na speed kali ya kutia watu dozi kubwa katika uwanja huo,utopolo nao wakaenda kufanya mazoezi hapo jambo ambalo linanitia wasiwasi hasa kwa historia ya Utopolo katika mambo ya ulonzi.

Wanasimba hili tukalitizame,nawasilisha.
Simba mnawaza uchawi muda wote hiyo ni dalili ya timu mbovu. Sijawahi kusikia washabiki wa Yanga wakiwaza huu ujinga. Mna timu mbovu muda utasema tu. Nyie endeleeni kuwaza uchawi badala ya kujenga timu.
 
Acha umbea game ya kwanza wapinzani wa Simba hawakukamilisha usajiri game ya 2 hivyo hivyo game ya 3 na Azam matatizo ya kibinadamu na Dodoma Jiji penalty haieleweki, draw na coastal mnalalama timu bado hiyo!
 
Back
Top Bottom