Baada ya kufanya mazoezi KMCC, Simba imeanza kufeli

Kunawashirikina wa kuwazidi makolo?Mmechoma Hadi viwanja vya watu huko S.africa
 
Utopolo wachawi sana ndo maana hata tukicheza nao hawapitii mlangoni
Unataka wapite mlangoni kwani nyie mliweka nini hapo mlangoni?kama sio ulozi?Ligi Bado ni ndefu hata yanga anaweza kufungwa au kudroo.Badala kusajili wachezaji na benchi la ufundi Bora mnawaza ulozi,tutawafynga sana makolo kwa akili kama hizi.
 
nyau kuanzia mechi ya azam ilisha onesha udhaifu sana, badala mechi kabla ya costal alibebwa na refa, mechi ya costal refa kamaliza mchezo asifungwe bado mtu anapata nguvu ya kusema eti tuna timu kali sema tumerogwa

acheni ujinga semeni ukwel hamna timu zaidi ya mbwembwe za waandishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…