Dopplar 2 shame on you ulijua mwanzoni humtaki now umekula ulichokula humtakii jamani your pepo.Linaitwaje
Hii kitu kwani ina react upande mmoja tu... halafu hakunaga hizo mambo bana... kama lahana tu siku hizi hakuna.. ndo ije hii mambo.. labda kwa wana ndoa... sio kwa hawa wengineKuna demu mmoja nilisha wahi kumwacha dizaini hiyo, nilimwona mbaya nikamtafutia visa nikapiga chini fasta, baada ya mwezi nikajitafakari nikavaa uhusika wa yule msichana jinsi alivyo kuwa ananipenda, nikasema isiwe tabu maana karma ingekuja kuni fck, nikamtafuta nikampa bonge la zawadi, nilimpa zawadi ambayo ilimbadilisha maisha yake yote, na hata kaa anisahau
Wanaume kuna kitu kinaitwa KARMA, Ukimtendea mwanamke na kumuumiza hisia zake ipo siku karma itaku fu.ck
Hapa kazinguaa, bora ata asingekua n mtu wake ambae walikua malengo makubwa [emoji48][emoji48][emoji48]Yaaani umeniuziiiii!!Hapo umemfanya ameacha mchumba halafu we unamuona mbaya tena!loh uombewe
Nyege zako tu ulikuwa humpendi mkuuMungu nisamehe bure!!
Kuna demu nimeangaika Sana kuja kuwa mpenzi wangu.
Nilimkuta ana-date na mkaka flani wakiwa wanaelekea kutangaza uchumba, gafla nikatokea maishani mwake na kubadiri uelekeo huo.
Sifahamu nini kimetokea kabla ya kumgegeda nilivutiwa na binti huyu ,cha ajabu siku aliponipa zawadi ya ushindi mvuto na upendo wote umepotea.
Namuona mbaya and not of my type.
Je hali hii wakuu imewahi kuwatokea? Na vipi ulikabiliana nayo...?
Acha vitisho Mkuu sikuizi Hat Muumba haangaiki na hichi kitengo maana kinamkasirish tuAise wewe amua utaklachoamua at your own risk.
Ila kwa kifupi tu ukim dump ita ku cost my brother.
Ina react pande zote, ujawah kuona mwanamke anagonga miaka 40 hajaolewa anazalishwa tu akiwa nyumbani? mwanaume anaenda hadi kwa waganga anatafuta mke? au wanaoana ndoa inakuwa haidumu malumbano ndani ya ndoa hayaishi... Karma ipo popote pale kiongozi hadi dunia ya kwanza karma ipoHii kitu kwani ina react upande mmoja tu... halafu hakunaga hizo mambo bana... kama lahana tu siku hizi hakuna.. ndo ije hii mambo.. labda kwa wana ndoa... sio kwa hawa wengine
Hakika mkuu swala atubu then aendelee na maisha mengine MUngu yupo kutusamehe tunapokili makosa yetuTubu alafu songa mbele.
Mungu ni wa wenye dhambi na wasio na dhambi.
Kuna mtu nijambazi,anatajirika sababj ya ijambazi,,alafu anatubu,,anaendelea kutumbua mali. Na zaka nasadaka anatoa
Mimi hizi mambo ndo hazinisumbuagi kichwa kabisa!! .Hakika mkuu swala atubu then aendelee na maisha mengine MUngu yupo kutusamehe tunapokili makosa yetu
Zawadi iliyo mbadilisha maisha zawadi gani iyoKuna demu mmoja nilisha wahi kumwacha dizaini hiyo, nilimwona mbaya nikamtafutia visa nikapiga chini fasta, baada ya mwezi nikajitafakari nikavaa uhusika wa yule msichana jinsi alivyo kuwa ananipenda, nikasema isiwe tabu maana karma ingekuja kuni fck, nikamtafuta nikampa bonge la zawadi, nilimpa zawadi ambayo ilimbadilisha maisha yake yote, na hata kaa anisahau
Wanaume kuna kitu kinaitwa KARMA, Ukimtendea mwanamke na kumuumiza hisia zake ipo siku karma itaku fu.ck
Wanaume mnatoa madini lakin hawa dadaz ni Kama nimewatonesha vidonda kwa post hii .. Mnisamehe bure.Mimi hizi mambo ndo hazinisumbuagi kichwa kabisa!! .
Ukiwa unapambana nadume la ng'ombe shariti ushike pembe zake.
Tubu ,unasamehewa ,unasonga mbele.....Maisha yasasa hayaitaj chumba cha kujihisi mwenye dhaaaaaambi.....Kuna watu wanadhambi balaaa mpaka shetan anawaogopa
Asante mkuuTubu alafu songa mbele.
Mungu ni wa wenye dhambi na wasio na dhambi.
Kuna mtu nijambazi,anatajirika sababj ya ijambazi,,alafu anatubu,,anaendelea kutumbua mali. Na zaka nasadaka anatoa
We naye umevurugwa tu maana si kwa povu hili.Dopplar 2 shame on you ulijua mwanzoni humtaki now umekula ulichokula humtakii jamani your pepo.
Watu kama nyie nikuoa wanawake waliovutaga bangi siku nyingi?
Mf.wale wadada ambao hawana aibu.
Ukimlala tu anasema kijiji kizima dah basi leo nimeenda kwa doppler2 anakibamia huyo halafu hajui hata romance yeye anakung'ata ng'ata tu.
Dah najuta kumuacha mchumba wangu couse siwezi ng'atwa till death.
Asilimia ya wadada wenye kujitambua wao wanajua sampuli za wanaume kama nyie you take a roll of a person who loves a woman and then you sleep with her and dump here .
We know your type and you will never ever have a piece of your mind.
Because of that i guarantee for sure.
For sure we have learn different types of it and then we ignore these characters of men.
You see your like satan no fear or what you just came here and write a post .
Shame on u
No boySio wote wanao oana au kuwa pamoja wanapendana... beba zigo lako kafie nalo mbele...
Wewe umekutana nawashamba may be niwazuri ila hawajui mambo wenzako wanakutana nawatu nawatemwa.We naye umevurugwa tu maana si kwa povu hili.
Siwezi jiforce huku feelings zimegoma.
Matokeo yake mbeleni yanaweza Kuwa mabaya zaidi .