Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani humu jf tunasikia sauti toka kwenye hiyo picha?Nje kidogo tu na maada Yako mkuu.
Huyu dada anaungama dhambi Gani Kwa father Hadi father kashika kichwa?View attachment 3148197
Nimekaa miezi mitatu hapo bandariniBaada ya kufika Mtwara nimetembelea Bandarini kuona shughuli mbalimbali zinazoendelea, kubwa zaidi ni kwa ajili ya usafirishaji wa Korosho ghafi kuelekea nchi za India, China na Ulaya jionee mwenyewe baadhi ya picha.
Jeshi vipi awamu hiii? Nguvu kwa nguvu kwenye biashara.....Magu khaaaBaada ya kufika Mtwara nimetembelea Bandarini kuona shughuli mbalimbali zinazoendelea, kubwa zaidi ni kwa ajili ya usafirishaji wa Korosho ghafi kuelekea nchi za India, China na Ulaya jionee mwenyewe baadhi ya picha.View attachment 3148216View attachment 3148218View attachment 3148216View attachment 3148218View attachment 3148218
Mkuu hujui hata picha huongea? ukitazama tu hapo father kachoka chakali na ameshika kichwa yaani anajiuliza hii dhambi itasameheka vipiUnadhani humu jf tunasikia sauti toka kwenye hiyo picha?
Nenda na wewe ukaungame halafu ulete picha hapa na utuambie umeungama dhambi gani.

HahahahNje kidogo tu na maada Yako mkuu.
Huyu dada anaungama dhambi Gani Kwa father Hadi father kashika kichwa?View attachment 3148197