Baada ya kugundua ana mimba isiyo yangu, nipo katika wakati mgumu sana. Nishaurini

ukachek DNA upate uhakika
kufanya DNA au partenity test kibongo bongo ninkujiumuza kabla ya DNA test unaenda kuapa mahakamani kwamba hata ikitokea mtoto sio wangu nitaendelea kumuhudumia sasa ndo nini. Kaka sepa kimya kimya kuliko kuja kuanza kupokelea mshahara nusu. Nusu inapigwa panga na mahakama inaenda kwa huyo malaya na mtoto wake na mbaya zaidi analihonga lijamaa lake na status anapost unaliona jinsi linavyooneemeka na nusu ya mshahara wako afu mtoto sio wakoo. Sepa kimya kimya. Kila mtu akashinde mechi zake kuliko kuhitakia makubwa
 
Ujue demu yyt ambaye am ambae upo nae kwenye mahusiano na unahisi kashika ujauzito na sio wako na mbaya zaidi hajielewi na hana shule ukihisi anakusingizia mimba piga mkwara kwamba mtoto akizaliwa nampima DNA kujihakikishia ni wangu, utaona anaanza kuhahaha na kupanic utaenda nae mdogo mdogo atausema ukweli tuuu kabla hata ya kujifungua
 
True
 
Pole sana achana nae tu,mimi niko kwenye ndoa wife akipata mimba huwa siamini kama yangu mpaka ajifungue nione copy,hawaaminiki hao na nishamwambia sipo tayar kulea mtoto wa nje.bora nichukue yatima nimlee lakin sio wa dizain hiyo.
 
Kaka nimechoka, anayenicheka aje anicheke lakini yanaweza yakamkuta hata walio kwenye ndoa kuweni makini na wake zenu
mimi nalea mtoto ambae hesabu zangu zinaonesha si wangu na niko kwenye ndoa isiyoisha migogoro. mtoto ana miaka minne sasa mke wangu kakataa kumtaja mhusika kalazimisha ni wangu na mtoto nikampa jina mimi wakati sikuwa nae kama miezi sita nikaibuka nikalala nae nikasafiri tena baada ya miezi sita na nusu akazaa!!

wanawake wa kibongo ni wauwaji ni makahaba asilimia 99%! wakiwa nje ya ndoa wanazitafuta ndoa kwa nguvu watamfanyia mwanaume kila kitu ili waolewe, ukimuoa atafanya kila kitu akuzalie mtoto mmoja wa kwanza akishakuingiza kingi sasa uchafu wake unaanza atatafuta mahawara dunia nzima sababu anajua hata akibeba mimba atamsukumia mumewe! na hata ukishtukia mimba si yako ukamuacha tayari ushazaa nae kopi yako ile huwezi kukubali mwanao alale njaa utatuma tu hela za kula mwanao nayeye kahaba atapitia humo humo kwa hela za mtoto na mizinga haitaisha mwanao ataumwa magonjwa yote duniani kila siku!!!

wasichana wa kibongo 99% wameangukia kwenye ukahaba ni wachafu mno wamegeuka mashetani kwa kwasasa ! pole sana vijana hakuna mke tena wote wamebaki makahaba watupu!!

ukiwa nae na ukitaka uishi kwa amani usimfuatilie kabisa! japo saa zingine unaweza kushangaa japo mkeo humfuatilii ila cm yako ikaita mwanaume mwingine akakuuliza kama mkeo yuko karibu!!wasichana wa kibongo wamekuwa wachafu mno kila mmoja kazi kutafuta mabwana hata awe nae wanaona sifa kuwa na wanaume wengi na kujificha mtu wake asijue!

mimi ningekuwa naweza wasichana wabongo wote ningeondoa uchafu huu nikaleta mademu wa kizungu tu , mtoto mmoja mzuri wa kizungu nilikuwaga nae mwaka mzima bongo alikuwa poa sana anakuzimia kweli si haya manyang’au tuko nayo huku bongo!! mabinti wa kizungu ni waaminifu 100%

alichonifanya mke wangu niliempa kila kitu sisahau na naishi na uchungu mwingi, siamini tena demu yoyote bongo mzuri na mweupe!!lazima awe kahaba tu hata umpe nini!
 
Kitanda hakizai haramu.😎
 
Pima DNA na kama sio mwambie mi sikufukuzi ila baba wa mtoto amlee mwanae na mimi nitalea wakwangu akipatikana.
 
Pima DNA na kama sio mwambie mi sikufukuzi ila baba wa mtoto amlee mwanae na mimi nitalea wakwangu akipatikana.
nimepotezea tu siwezi kumpima mtoto sababu nikimkataa mtoto na mke wangu akagoma kumtaja mhusika mtoto atakosa baba na hakuna binadamu anaweza kuishi vizuri bila baba. nimemuacha huyo mke tu kiaina bila kumwambia niko na wengine nimekata huduma apambane na dunia.

tumekubaliana na mtalaka katika maisha yake asijetena kumtaja mhusika atamharibu mtoto ambae sasa anajua mimi ni baba yake
 
Huyo mwanamke mjinga sana anatakiwa akanywe aache huo UPUMBAVU, shenzi kabisa.

Kabla sijakushauri hebu nipe namba yake kwanza nimpe makavu yake, maana kaniudhi sana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], ngoja nicheke kwanza halfu nirudi kuja kutoa ushauri
 
Sio mbaya maamuzi mazur pia
 
Pole sana achana nae tu,mimi niko kwenye ndoa wife akipata mimba huwa siamini kama yangu mpaka ajifungue nione copy,hawaaminiki hao na nishamwambia sipo tayar kulea mtoto wa nje.bora nichukue yatima nimlee lakin sio wa dizain hiyo.
Unaanzaje kulea bao la mwanaume mwenzako???
 
Kaka unamoyo mgumu. Ipo siku mungu atasikia kilio chako. Usilipize acha MUNGU atalipiza mwenyewe. Ni kwamba dhambi ya zinaa haitamuacha mtu na uzao wake salama hata ichukue miaka elfu moja. Na kikubwa nakupongeza kukubali na kutokwenda kupima DNA kwani hapo ndio utaongeza ukali wa kidonda maana haki ya mtoto ni lazima apate malezi na mahitaji muhimu hata ukigundua mtoto sio wangu lazima uendelee kumtunza upennde usipende. Sheria inayohusu mambo ya DNA hapa bongo ni utopolo mtupu. Siijui vizuri lakin nilipewa madodoso yake nikasema hawa wanawake sijui waliumbwa kwa ajili gani.
 
Mpaka leo binti yule mrembo ajabu huwa analia eti miye pengine ndiye mwanaume pekee niliyewahi kumpenda kikweli. Pole sana S wangu wewe. I really loved you baby girl [emoji7][emoji7][emoji7]
I loved you too, and I love you now and forever.
It's always been you.
 
Reactions: amu
Pima na VDRL na HIV mkuu
 
Tz ukipima DNA kipimo hata kama mtoto sio wako utaambiwa ni wako [emoji23]
Wanakosea inabid waseme ukweli ili wajirekebishe,hili tatizo kwa wenzetu hakuna ni huku tu shit hole.
 
Jamaa ana moyo nakumbuka habar moja ya mbezi jamaa alivyogundua mtoto sio wake alimchinja yule mtoto na mama yake sasa hawa wanawake sijui huwa hawazion hizi habari?wangekuwa wanaziona ikitokea mistake kama hiyo bora akimbie tu.
 
jj
Jamaa ana moyo nakumbuka habar moja ya mbezi jamaa alivyogundua mtoto sio wake alimchinja yule mtoto na mama yake sasa hawa wanawake sijui huwa hawazion hizi habari?wangekuwa wanaziona ikitokea mistake kama hiyo bora akimbie tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…