ukachek DNA upate uhakika
kufanya DNA au partenity test kibongo bongo ninkujiumuza kabla ya DNA test unaenda kuapa mahakamani kwamba hata ikitokea mtoto sio wangu nitaendelea kumuhudumia sasa ndo nini. Kaka sepa kimya kimya kuliko kuja kuanza kupokelea mshahara nusu. Nusu inapigwa panga na mahakama inaenda kwa huyo malaya na mtoto wake na mbaya zaidi analihonga lijamaa lake na status anapost unaliona jinsi linavyooneemeka na nusu ya mshahara wako afu mtoto sio wakoo. Sepa kimya kimya. Kila mtu akashinde mechi zake kuliko kuhitakia makubwaukachek DNA upate uhakika
Ujue demu yyt ambaye am ambae upo nae kwenye mahusiano na unahisi kashika ujauzito na sio wako na mbaya zaidi hajielewi na hana shule ukihisi anakusingizia mimba piga mkwara kwamba mtoto akizaliwa nampima DNA kujihakikishia ni wangu, utaona anaanza kuhahaha na kupanic utaenda nae mdogo mdogo atausema ukweli tuuu kabla hata ya kujifungua
mimi nalea mtoto ambae hesabu zangu zinaonesha si wangu na niko kwenye ndoa isiyoisha migogoro. mtoto ana miaka minne sasa mke wangu kakataa kumtaja mhusika kalazimisha ni wangu na mtoto nikampa jina mimi wakati sikuwa nae kama miezi sita nikaibuka nikalala nae nikasafiri tena baada ya miezi sita na nusu akazaa!!Kaka nimechoka, anayenicheka aje anicheke lakini yanaweza yakamkuta hata walio kwenye ndoa kuweni makini na wake zenu
Pima DNA na kama sio mwambie mi sikufukuzi ila baba wa mtoto amlee mwanae na mimi nitalea wakwangu akipatikana.mimi nalea mtoto ambae hesabu zangu zinaonesha si wangu na niko kwenye ndoa isiyoisha migogoro. mtoto ana miaka minne sasa mke wangu kakataa kumtaja mhusika kalazimisha ni wangu wakati sikuwa nae kama miezi sita nikaibuka nikalala nae nikasafiri tena baada ya miezi sita na nusu akazaa!!
siamini tena mwanamke yoyote mzuri na mweupe!!
nimepotezea tu siwezi kumpima mtoto sababu nikimkataa mtoto na mke wangu akagoma kumtaja mhusika mtoto atakosa baba na hakuna binadamu anaweza kuishi vizuri bila baba. nimemuacha huyo mke tu kiaina bila kumwambia niko na wengine nimekata huduma apambane na dunia.Pima DNA na kama sio mwambie mi sikufukuzi ila baba wa mtoto amlee mwanae na mimi nitalea wakwangu akipatikana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], ngoja nicheke kwanza halfu nirudi kuja kutoa ushauriHuyo mwanamke mjinga sana anatakiwa akanywe aache huo UPUMBAVU, shenzi kabisa.
Kabla sijakushauri hebu nipe namba yake kwanza nimpe makavu yake, maana kaniudhi sana.
Sio mbaya maamuzi mazur pianimepotezea tu siwezi kumpima mtoto sababu nikimkataa mtoto na mke wangu akagoma kumtaja mhusika mtoto atakosa baba na hakuna binadamu anaweza kuishi vizuri bila baba. nimemuacha huyo mke tu kiaina bila kumwambia niko na wengine nimekata huduma apambane na dunia.
tumekubaliana na mtalaka katika maisha yake asijetena kumtaja mhusika atamharibu mtoto ambae sasa anajua mimi ni baba yake
Unaanzaje kulea bao la mwanaume mwenzako???Pole sana achana nae tu,mimi niko kwenye ndoa wife akipata mimba huwa siamini kama yangu mpaka ajifungue nione copy,hawaaminiki hao na nishamwambia sipo tayar kulea mtoto wa nje.bora nichukue yatima nimlee lakin sio wa dizain hiyo.
Mimi silaha yangu ni DNA! Hata kama sikutumia sijui nini.
Bora uniambie mapemaaa sio amezaliwa mtoto nimelealea halafu niamue kwenda kupima nikute vitu havimatch hata makundi ya damu hatuendani!!!!
Kaka unamoyo mgumu. Ipo siku mungu atasikia kilio chako. Usilipize acha MUNGU atalipiza mwenyewe. Ni kwamba dhambi ya zinaa haitamuacha mtu na uzao wake salama hata ichukue miaka elfu moja. Na kikubwa nakupongeza kukubali na kutokwenda kupima DNA kwani hapo ndio utaongeza ukali wa kidonda maana haki ya mtoto ni lazima apate malezi na mahitaji muhimu hata ukigundua mtoto sio wangu lazima uendelee kumtunza upennde usipende. Sheria inayohusu mambo ya DNA hapa bongo ni utopolo mtupu. Siijui vizuri lakin nilipewa madodoso yake nikasema hawa wanawake sijui waliumbwa kwa ajili gani.nimepotezea tu siwezi kumpima mtoto sababu nikimkataa mtoto na mke wangu akagoma kumtaja mhusika mtoto atakosa baba na hakuna binadamu anaweza kuishi vizuri bila baba. nimemuacha huyo mke tu kiaina bila kumwambia niko na wengine nimekata huduma apambane na dunia.
tumekubaliana na mtalaka katika maisha yake asijetena kumtaja mhusika atamharibu mtoto ambae sasa anajua mimi ni baba yake
I loved you too, and I love you now and forever.Mpaka leo binti yule mrembo ajabu huwa analia eti miye pengine ndiye mwanaume pekee niliyewahi kumpenda kikweli. Pole sana S wangu wewe. I really loved you baby girl [emoji7][emoji7][emoji7]
Pima na VDRL na HIV mkuuHabari zenu wakuu, Jf ni sehem nayoiheshimu na imejaa watu wazima wenye hekima na wanaojitambua natumaini mtanipa ushauri mzuri na wenye hekima.
Nipo kwenye mahusiano na binti 24 years old, Tumekuwa na mahusiano kwa mda wa miaka miwili na mda wote nilikuwa nikijitahidi sana kumlinda na mimba sababu yupo kwao mipango yetu ilikuwa ni kuzalia kwenye ndoa hivyo mda wote tuliokuwa tunakutana nilizingatia sana kinga ili kumlinda na mimba.
Sasa shida imekuja tokea miezi miwili iliyopita alikuwa kabadilika sana yani hata kukutana na mimi ni hadi aamue kwa kujiskia yeye tofauti na zamani, akija kwangu simu ataiacha kwao sababu hatuishi mbali na simu nilimnunulia mimi, hadi nikajiuliza simu imeficha nini lakini niliendelea kuwa mvumilivu.
Mara ya mwisho nikakutana nae kimwili siku moja baada ya kumaliza period na siku ya 27 ya mzunguko wa hedhi ndio ikawa mara ya mwisho kusex nae na mara zote nilitumia condom kwa usahihi na wala haikupasuka wala kupata damage yoyote,na hata mda wa kusex alikuwa yupo yupo tu yani najihisi nipo peke yangu kitandani.
Sasa baada ya kupita siku karibia 36 bila kuona siku zake, ikabidi nimuulize vipi kuna tatizo, akawa kakaa kimya tu anasema hajielewi labda ni mabadiliko tu, kwa vile nilishaona ile sio hali ya kawaida na haijawahi kutokea ikanibidi niende pharmacy nikanunua Baby check, kwa ajili ya kupima mkojo wake ili nijue kama ana ujauzito
Jioni nikampa nikamuekekeza acheki mkojo wa asubuhi akiamka, ilpofika asubuhi akachek na matokeo yakawa ni haya [emoji116], akanitumia hiyo picha whatsap
View attachment 1500024
Alama mbili zikatiki kuwa ni mjamzito, ikanibidi nionane nae jioni ile tujadiliane na maswali nliyokuwa nayo kichwani inawezekana vipi mtu usex kwa kutumia condom kwa usahihi na tena kwenye siku ambazo sio za kushika mimba na mtu apate mimba?
Nilivyoonana nae ikanibidi nimbane kisawa sawa kwa tecknic nazozijua mimi ili aseme ukweli kama aliteleza, baada ya kumbana huku akilia kuwa mimba ni yangu nikamwambia pia kama bado utaniaminisha mimba ni yangu mimi sina tatizo mtoto akizaliwa tutaenda kucheki DNA, kuthibitisha kuwa ni wangu ili nilee damu yangu, Akasema hataki kuzaa hivyo tuitoe, mimi nikasimamia msimamo wangu kuwa damu yetu haipotei kama mimba ni yangu ajiamini kwanini aogope hadi atake kuitoa na uwezo wa kulea upo.
Ikabidi aongee ukweli kuwa alinisaliti na mtu mwenyewe aliyechepuka nae haijui hata background yake hata kazi anazofanya hazijui, niliishiwa nguvu pale nilipo mwambia alete simu yake ampigie huyo jamaa kuwa ana mimba yake
Baada ya kumpigia jamaa akakubali na kusema hana tatizo , nilibaki na mshangao na machozi yalinitoka, na kama isingekuwa kutumia condom basi ile mimba ilikuwa niikubali kwa mikono miwili na ukiangalia kwetu kutoa mimba ni haram na kosa kubwa wakati uwezo wa kulea upo
Pale ndipo nilipoamini kuwa wanawake ni watu wakuishi nao kwa akili sana, kukuletea mtoto asie wako hawaoni kazi, naamini kuna watu wengi mnalea watoto ambao sio wenu, mimi nimeponyea kwenye tundu la sindano
nichukue fursa hii kuwashauri vijana ambao hamko kwenye ndoa acheni kuruka na wanawake kavu kavu, hasa hawa mabinti under 28, hawafai hata kidogo ni wachache sana wametulia ila wengi ni mafia, kukuleta mimba isiyo yako huwa hawaoni tabu
Ni heri mtumie condom tu ili kuepukana na huu mchezo tunaochezewa wanaume, ifike mahali tuseme basi kulea watoto ambao sio wetu tumechoka
Vile vile tokea hili tukio litokee nipo katika wakati mgumu sana, mawazo hayaniishi sababu kutendewa unyama kama huu na mtu niliyempenda inaumiza sana, na huyu mwanamke kila kukicha ananiomba msamaha akilia, hivi nawezaje kusamehe usaliti kama huu? ndio maana kwenye heding nikaomba ushauri wenu namna ya kuanza maisha mapya yenye amani nimechanganyikiwa kwa kweli
Wanakosea inabid waseme ukweli ili wajirekebishe,hili tatizo kwa wenzetu hakuna ni huku tu shit hole.Tz ukipima DNA kipimo hata kama mtoto sio wako utaambiwa ni wako [emoji23]
Jamaa ana moyo nakumbuka habar moja ya mbezi jamaa alivyogundua mtoto sio wake alimchinja yule mtoto na mama yake sasa hawa wanawake sijui huwa hawazion hizi habari?wangekuwa wanaziona ikitokea mistake kama hiyo bora akimbie tu.Kaka unamoyo mgumu. Ipo siku mungu atasikia kilio chako. Usilipize acha MUNGU atalipiza mwenyewe. Ni kwamba dhambi ya zinaa haitamuacha mtu na uzao wake salama hata ichukue miaka elfu moja. Na kikubwa nakupongeza kukubali na kutokwenda kupima DNA kwani hapo ndio utaongeza ukali wa kidonda maana haki ya mtoto ni lazima apate malezi na mahitaji muhimu hata ukigundua mtoto sio wangu lazima uendelee kumtunza upennde usipende. Sheria inayohusu mambo ya DNA hapa bongo ni utopolo mtupu. Siijui vizuri lakin nilipewa madodoso yake nikasema hawa wanawake sijui waliumbwa kwa ajili gani.
Jamaa ana moyo nakumbuka habar moja ya mbezi jamaa alivyogundua mtoto sio wake alimchinja yule mtoto na mama yake sasa hawa wanawake sijui huwa hawazion hizi habari?wangekuwa wanaziona ikitokea mistake kama hiyo bora akimbie tu.