Baada ya kuhudumia mtoto nimegundua sio damu yangu. Nimuoe huyu mwanamke nilee mtoto asiye wangu au nimuache?

Huyo mtoto ni wako na kwa kuwa ana jina la mama yako basi teyari ni wako
Marekani ukikubali kutengeneza tu birth certificate na ukasaini basi mtoto ni wako
Ila mie natambua sio lazima kuchangamana damu kuwa familia
Mtunze sana huyo mtoto atakuja kuwa msaada mkubwa sana kwako
Hata akikua usije mlea kama mtoto wa nje, atakuletea baraka nyingi sana kwenye maisha yako. .

Anaweza kuja kuwa mtoto wa pekee kwako, unaweza ukatembea tu gari ikakanyaga jiwe na tairi na jiwe likarushwa likagonga pumbu; ndo basi tena hapo. Usimwache mtoto laana zipo na mwisho wa ubaya aibu. .
 
Kumbe ni copy and paste story?
 
Nadhani hakuna haja ya kuendekea na huyo mwanamke hapo ulikuwa hupendwi ila umepotezewa muda wako bure, huyo sio mwanamke wa kulazimisha kuwa nae kama imetokea hivyo achana nae angalia mbele zaidi japo inauma lkn hauna jinsi hawa viumbe ni hatari sana aisee huwa sio wa kweli.
 
Mkuu pole sana kwa magumu unayopitia ila jipe moyo na uamini kwamba yote Ni mapito tu ipo siku kila kitu kitakuwa shwari.

Huyu dada akae akijua KARMA inamsubiri mbeleni.
 
Nikitoaga mtoto bichwa kama langu, yani hata ukipanga kumpa mtu mwingine dogo haendi!
 
Siwez kukushaur mengi
ila nakuomba ujue uyo mwanamke hakufai kwa ndoa, vinginevyo wanawake wameisha.

1. Kafanya kosa la kwanza la kukucheat na kulalwa na Mwanaume wa nje.
NB: Mwanamke anacheat kwa hisia, kamwe hawezi kulalwa na asiyempenda.
Maana ake we we hupendwi.

2. Kafanya kosa la pili la kubeba mimba kabisa uko kwenye uzinzi wake.
NB: angekua anakupenda, Iyo mimba angeitoa kuepusha tafrani.

3. Kafanya kosa la tatu la kukuomba matumizi ya kulea mimba, Na anajua kusudi iyo mimba siyo yako.
Huu Ni unafiki wa Hali ya juu Sana.

4. Kafanya kosa la 4 la kukuomba matunzo ya kulea mtoto, anaejua kabisa sio wako. Wkt anajua kabisa baba yake yupo.
Huu Ni unafiki, uchonganish na roho mbaya.

5. Kafanya kosa la 5 la kuitunza Siri miaka yote, uku akijua anakula Mara mbili, kwa wanaume wawili tofauti.
Maana ake alijiamini kwa alichokifanya.

Kwa kifupi,
Mwanamke wako ana roho ngumu Sana,
Ana roho ya kikatili sana kuweza kufanya yote hayo. Hafai kua mkeo. [emoji120]
 
Tafuta msichana mwingine oa achana na hizo mambo bwana mdogo.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Dah,yani ndo hapo unapoonaga jinsi wanawake walivyona roho ngumu.

Kweli hawa vive sio wa kuonea huruma kabisa.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Pole sanaa usimuoe we kula mbususu pia mjali tu mtoto kwa hali ya kibinadamu ,ukishapata wako sasa utahamishia majukumu uko, uo mwanamke ni shritwani ukioa utakufa muda sio wako 35 utotoboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…