baada ya kuibiwa sana huyu msanii katoka na hii style

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Huyu ni msanii wa nyimbo za dini David Ushindi ambaye ni muinjilisti. Yeye anasema kazi yake anauza mwenyewe sababu wanaibiwa sana. Yeye asubuhi anaenda kazini kama watu wengine na anauza sana tu.

Ukiangalia picha kuna mahala anarekebisha generator yake mwenyewe na pia akiimba na kucheza. nimepemda hii style yake. anasema cd anauza mwenyewe, ukienda dukani wapoteza muda wako. safi sana. mia

---------------------------------

 

Attachments

  • fig.jpg
    19.1 KB · Views: 1,876
  • fig1.jpg
    9.6 KB · Views: 1,201
  • fig3.jpg
    9 KB · Views: 1,201
Ivi kaka Mia mganga wako ndo alikuambia kwamba ukiandika jambo lolote humu uandike mia mwisho?mi huwa nakuangaliaga sana tu izo ni dalili za ushamba!jirekebishe!kama hujui inakera sana!
 
hiyo ni swag ya kwetu bongo jombaa....kama marekani wanatupia kitu cha ''word'' hapa kwetu......mia
mia!
 
Ivi kaka Mia mganga wako ndo alikuambia kwamba ukiandika jambo lolote humu uandike mia mwisho?mi huwa nakuangaliaga sana tu izo ni dalili za ushamba!jirekebishe!kama hujui inakera sana!

Sina sababu ya kukufurahisha. Niache na ushamba wangu. Sikujui hunijui so nipotezee.
kwa kukusaidia niblock ili usiwe unaiona. Mbona rahisi sana!?.
*mimi sio kaka yako bali ni member mwenzio*. mia
 
Ivi kaka Mia mganga wako ndo alikuambia kwamba ukiandika jambo lolote humu uandike mia mwisho?mi huwa nakuangaliaga sana tu izo ni dalili za ushamba!jirekebishe!kama hujui inakera sana!

it means to keep yourself real and true, to be honest and stick to the way you are, no matter what any one else thinks.
You don't have to like my decision. I'm gonna keep it 100 and do what I feel is right. Even though its ma swagga'. Duh watu mnakereka na mengi. Samahani kwa majibu nlokujibu hapo juu. Ukweli ni kwamba hauwezi kufurahishwa na kila kitu so tuvumiliane. You know what? Njoo pm. Mia
 
Siku hizi Kila kitengo watu wanakomaa wenyewe,huyu bwana anakomaa na CD zake..kuna jamaa mmoja anamiliki Toyota hiace pale Kahama dereva ni yeye na wife konda.MIA
 
Ivi kaka Mia mganga wako ndo alikuambia kwamba ukiandika jambo lolote humu uandike mia mwisho?mi huwa nakuangaliaga sana tu izo ni dalili za ushamba!jirekebishe!kama hujui inakera sana!

huu ni wivu wa kijinga.!!!!
 
Watu wanaiba sana kazi za Muziki. Huu ni ubunifu pia. Mia.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Tatizo anampigisha mzigo mtoto ambaye kwa wakati ule anastahili kuwa SHULE. Mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…