iyo suti yake ata wanilipe hela sivai..
Kwanini mkuu?
kweli kabisa mkuu unaniuliza kwanini? I mean uko siriaz!!? we unaweza kuvaa ilo dubwasha mkuu,,basi tumetofautiana sana sie wengine wanyamwezi mkuu.
View attachment 105444. Albam yake hiyo. Mia
Mia.....imepata wateja aliyedisi limemshuka
huu ni wivu wa kijinga.!!!!
it means to keep yourself real and true, to be honest and stick to the way you are, no matter what any one else thinks.
You don't have to like my decision. I'm gonna keep it 100 and do what I feel is right. Even though its ma swagga'. Duh watu mnakereka na mengi. Samahani kwa majibu nlokujibu hapo juu. Ukweli ni kwamba hauwezi kufurahishwa na kila kitu so tuvumiliane. You know what? Njoo pm. Mia
View attachment 105444. Albam yake hiyo. Mia
Hivi sonko maana yake ni nini?