Baada ya kujadili Makonda kwa miezi kadhaa!

Abuwhythum

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
837
Reaction score
495
Ni miezi kadhaa tumekuwa tukiona mijadala mbalimbali juu ya Makonda, ninaamini makonda wameona makosa yao sasa ni zamu ya kuwajadili madereva! Onesha ushirikiano wako kama ulivyoonesha ushirikiano mzuri kwa Makonda.
Ni wachache watanielewa ila baadae kidogo au baada ya kusoma mstari huu wa mwisho kila mtu atakuwa amenielewa vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…